• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Friday, February 21, 2014

FAIDA 7 YA CHAI YA KIJANI.

2:28 AM // by Kalma // 1 comment

CHAI YA KIJANI
Kikombe cha chai ya kijani ni kizuri kwa kuianza siku yako.
"Ni kitu chenye afya naweza fikiria kukinywa," by Christopher Ochner, PhD. He is a research scientist in nutrition at the Icahn School of Medicine at Mount Sinai. "Green tea is beyond a super food."
Kwa miaka 20 ilopita sasa,maelfu ya wasomi walionyesha faida za chai ya kijani.

Seli zenye afya
Kwanini chai ya kijani nzuri kwako?Ni kwasababu ya catechin iliyokuwamo," amesema Beth Reardon, RD, a Boston nutritionist. Catechins ni antioxidants ambayo hupambana na vile vile huzuia uharibifu wa seli.Chai ya kijani huwa sio ya kutengenezwa kabla haijawekwa katika kikombe chako,kwa hiyo ni tajiri wa catechins.
Afya ya moyo
Chai ya kijani imeonyesha kuongeza msukumo wa damu na kushusha cholesterol. Mnamo  2013 studies nyingi zilionyesha chai ya kijani au green tea husaidia kulinda na issues nyingi zihusianazo moyo,kutokea high blood pressure hadi congestive heart failure.

Afya ya akili
Kizuri kwa moyo huwa ni kizuri kwa akili pia,na akili yako huitaji mishipa ya damu yenye afya nzuri pia.Moja ya studies kule Uswiss,imeonyesha kwamba mtu anaekunywa chai ya kijani ana ufanisi mzuri wa kumbukumbu katika ubongo au akili yake.Chai ya kijani husaidia kuziba kujengwa kwa Plaques ambayo inaunganishwa na vijidudu vya Alzheimer’s.

 Kisukari
Chai ya kijani imeonekana kusaidia kuweka sawa blood sugar kwa watu wenye kisukari.Kwasababu catechins hushusha cholesterol na blood pressure,hulinda na kuharibika kwa kisababishi kutokana na high-fat diet .

Kupunguza uzito
Chai ya kijani husaidia kuongeza na kubadilisha pia metabolism,kwahiyo unaunguza calories nyingi tokea kwenye mafuta .Chai ya kijani pia husaidia kuongeza uzito uliopotea.
Ni fagio la kusafisha vyakula vya sukari au vinywaji vya sukari.Kila kitu hubakia sawa,kama 1-2 kikombe cha chai ya kijani kwa soda moja ya kopo,kwa mwaka mwingine utakua umesave zaidi ya  calories 50,000 . Ambayo ni zaidi ya pounds 15.

Hulinda na cancer
Chai ya kijani imeonyesha athari kwa cancer.Lakini chai ya kjani imejulikana na imetambulika kisomi zaidi huongeza seli zenye afya katika stage zote za ukuaji.Kuna dalili za kuwa chai ya kijani husaidia kuangamiza seli za cancer.
 Hupunguza stress
Kufyonza au ile style ya kunywa chai kwa kuifyonza husaidia kuwa mpole na kupumzika.Amino acid inayoitwa amino acid theanine hupatikana kwenye chai ya kijani huleta afueni ya mapumziko na calming.

Tips za afya:
  • Usiongeze chai ya kijani kwenye maji yanayochemka sana.Utaziua catechins. Vizuri maji yafikie 160-170 degree
  • Weka ndimu Vitamin C hutengeneza compounds ambazo rahisi kuyeyuka katika chai ya kijani.Maziwa kwa maana nyingine kwenye chai ya kijani huleta ugumu ya kuyeyusha catechins.
  • Kipimo cha compounds za afya kwenye chai ya kijani hutofautiana. Rule of thumb: Ya kutengeneza mwenyewe ina faida za kiafya nyingi zaidi kuliko chai ya kijani ya kopo.
Unaweza kunywa kwa siku vikombe 4 ,viwili unaweza ongezea caffeine na viwili usiweke. Japokuwa huonekana sio nzuri kiafya.Na pia sio njia nzuri ya kujenga afya yako.

Tuesday, February 4, 2014

KUONDOA WEUSI CHINI YA MACHO.

10:31 AM // by Kalma // No comments


 Kulala na kupumzika ni muhimu kwa kuwa na afya nzuri na muonekano bomba.Kuanzia kwenye kuboresha akili,kuongeza ufanyaji kazi mzuri wa moyo,kuongeza ubunifu katika ufanyaji wako wa kazi,faida zake huwa hazina mwisho.Lakini sio rahisi kuupata usingizi wa kutosha kwa kila usiku-na wakati mwingine huonesha usoni chini ya macho huitwa(miwani)na puffy eyes.Japo kuwa tiba yake ni kutibu chanzo cha hilo tatizo ambao ni usingizi na kupumzika vya kutosha.Hizi njia za asili chache,hufix macho ya usingizi….kwa usiku pindi haukupatikana usingizi kama ulivyotakiwa katika mipango.
Viazi.
 Viazi vina asili ya enzymes wanaong’arisha ngozi huitwa catecholase, ambao husaidia kufifiza weusi chini ya macho.Weka kiazi kibichi katika hiyo sehemu ya machoni unaweza kukikata vipande vidogo vyembamba au kwa kusaga kupakaa kama uji.Weka kwa 30 dakika kisha toa,osha uso kwa maji ya kawaida tu ukihisi ulazima.


 Mint leaves
Pakaa majani ya mint kwenye sehemu hiyo ya machoni huleta kuwakwa moto ile kama ukali wa mfano vicks,huongeza msukumo wa damu katika hiyo sehemu na kuondoa weusi.Rahisi ponda majani ya mint kidogo na pakaa machoni hapo kwa dakika 5.Osha uso kwa maji ya kawaida yaani cool water .Unaweza tumia majani ya mint ukachanganya na asali au olive oil kabla hujapakaa kwenye macho .Nayo ni kwa dakika tano . 

Tea bags
Caffeine ndani ya  caffeinated teas,kama chai ya kijani (green tea)kwa muda kukazisha ngozi chini ya macho kuiachia mishipa ya damu kuondoa maji yalozidi, pindi  herbal teas (kama chamomile)huondoa kuungua na m-badiliko wa rangi na kuondoa udhia .Kupaakaa,weka tea bags mbili ilowanishe kwenye chai na  uiache zipoe.Weka kila tea bag moja kwenye macho yako yakiwa yamefungwa kwa kuilaza kwa dakika 15 pindi umekaa mkao wa kujilaza.


Rose water
Rose water ina vitamins kama A na C, ina antiseptic, anti-inflammatory na anti-bacterial pia,na vile vile ni kama balancing effect,ni chaguo zuri la kutumia kwenye ngozi.Unapakaa hayo maji chini ya mcho kwa dakika 10 kwa kulowanisha pamba na kutumia kupakaa.




Matango
Weka vipande vya  matango ya baridi kwenye kila jicho husaidia kuondoa uchovu ,puffy eyes kwa kuyapooza kwake,na husaidia kulainisha ngozi ya machoni mwako.La kuongezea,matango hufanya kazi ya toner na kung’arisha uso,husaidia kuondoa mabadiliko ya rangi katika ngozi.Wengine husema kutumia matango machoni ni tiba ya kizamani lakini hiyo ni wewe kama utaiweka akilini,lakini wengine na mimi nikiwemo ni njia tuliyojiaminisha kuwa nzuri na inasaidia. 
Ni muhimu kunote kwamba weusi chini ya macho husababishwa na upungufu wa usingizi,na sio kama ni lazima hiyo kuwa ndo chanzo. Allergies, matatizo ya pua(nasal congestion), na stress ni sababu za kawaida, nazo pia. Kuligundua tatizo itakupa njia rahisi ya kutibu kwa urahisi na ndani ya muda.