• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Thursday, November 6, 2014

4:52 AM // by Kalma // No comments

Kuimarisha afya kwa wazee(watu mzima). 
Kula vyakula tofauti kutokea makundi yote ya chakula yatasaidia kukupatia lishe na afya katika mwili wako inayotakiwa kwa umri.Ulaji wa afya huwa ni kwa mipango ya matunda,mboga mboga,nafaka nzima na au low-fat au fat-free dairy; ikiwemo nyama,poultry,samaki,maharage,mayai na jamii ya karanga; na vyakula vilokuwa havina mafuta mengi,trans fats,cholesterol,chumvi (sodium) na sukari ya kuongezewa yaani ya kukorogea juu.
Kula vizuri haitakiwi iwe complicated.Anza na huu ushauri kutokea kwa wataalam (Dietary Guidelines for Americans):
Kula matunda na mboga mboga.zinaweza kuwa fresh, ziloganda au kwenye makopo.Kula zaidi mboga zilokooza rangi ya kijani kwa mfano leafy greens au broccoli, na mboga za rangi ya machungwa kama karoti na viazi vitamu.


Tofautisha protini yako kwa chaguo tofauti tofauti zaidi samaki,maharage na njegere.

Kula angalau tatu ounces ya nafaka nzima (whole-grain cereals), mikate, crackers, wali  au pasta kila siku.


  • Pata aina tata au hizi za mafuta kidogo ( low-fat) au maziwa yasomafuta( fat-free dairy )(maziwa, maziwa ya mtindi au cheese) ambayo fortified na vitamini D kusaidia kuweka na kuipa nguvu mifupa yako na afya tele.
  • Tengeneza mafuta tokea kwa vyakula vya afya unavyokula (polyunsaturated and monounsaturated fats). Pendelea tokea solid fats kuwa mafuta pindi unapoandaa msosi.
  • Ongezea mazoezi au kazi za mwili.
Wastanisha kazi za mwili yaani physical activity na mlo wenye afya iwe ndo vikorombwezo vyako kwa kutengeneza afya nzuri na kuwa fit.Weka  malengo kufanya kazi au mazoezi angalau kwa dakika 30 kila siku.Unaweza kupumzika kwa hilo zoezi lako au hiyo kazi kwa dakika 10 mara kwa mara kwa  kila siku
Kama hauko active, anza na kwa mazoezi au kazi kwa dakika chache,kama vile kutembea, na iwe unazidisha muda kadiri hali inapokuwa nzuri au fit.
Pata ushauri kwa muuguzi wako wa afya kabla ya kuanza mazoezi mapya au kazi mpya ambayo hukuizoea kuifanya siku zote. 


Wednesday, November 5, 2014

Olive Oil kuondoa Stretch Marks

6:41 AM // by Kalma // No comments

Stretch marks ni kitu ambacho hakipendezi kuwa nacho katika ngozi yako.Kwa bahati mbaya,tunaweza epukana na hali hii mbaya ya marks kwa muda,na sana pale unapo nenepa au unapopungua uzito.Kipindi cha ujauzito,wanawake wengi wanapata hizo marks hata bila ya kutumia aina za cream tofauti tofauti.La zaidi,hizi marks zinakera na haziondoki haraka.Kama unatafuta ufumbuzi kwa hilo la kuondoa hizo stretch marks,Olive Oil huenda ikawa chaguo zuri kwako.
Angalizo:
Olive oil hufanya kazi nzuri kuondoa stretch marks.Kuondoa hii mistari kwenye ngozi sio kwa usiku mmoja tu,kwa uhakika utaona utofauti  ndani ya wiki au wiki mbili
Kupakaa Olive oil mara kwa mara huifanya ngozi kuwa  nyeupe kama sio kuondoa kabisa, hilo ndo linaloifanya Olive kuwa best solution kwa wajawazito wenye stretch marks .
Kumbuka Stretch Marks:
Kabla hatujalizungumzia hili la ufanyaji kazi wa Olive oil ,ni lazima tujue kwanini stretch marks zinatokea kwenye ngozi.
  • Ni geni lakini kweli,wanawake ndo wanatokewa na hizi alama zaidi kuliko wanaume.Wasichana kipindi cha umri wa kukua kama kuvunja ungo,na kipindi cha ujauzito .
  • Haya makovu yako kwa wanawake sababu ngozi zao ni laini na flexible.Japokuwa,wanaume pia wanapata stretch mark kwa kuongezeka uzito au kupungua uzito kwa muda wa kipindi kifupi.
  • Stretch mark in dermatology ni Striae.Hii mistari hutokea zaidi pindi ngozi ya juu ya ngozi hutanuka kuzidi uwezo wake.
  • Specific sehemu za mwili ambayo huwa ni shahidi wa hizi mistari ni juu ya mikono na chini ya mikono,tumboni, thigh,kwenye makalio,na sehemu ya maziwa.
  • Inaaminika zaidi na wataalamu kwamba stretch marks hutokea sana maeneo ya ngozi ambapo mzunguko wa Vitamin ni mdogo au hafifu.
  • Stretching au shrinking ya ngozi tokea katika vipindi vya maisha,kwa zaidi kipindi cha kuvunja ungo na ujauzito,na kipindi cha kujifungua.
Kwa nini Olive Oil kwa stretch Marks?
Unaweza ukajiuliza kwanini  kuchagua olive oil kuondoa stretch marks.Well,mafuta haya ya asili ni tajiri na chanzo kikubwa cha Vitamin E,ambayo ni muhimu kwa afya ya ngozi.
  • Olive oil,na kuwa na wingi wa Vitamin E ni nzuri kupakaa katika sehemu ambazo kuna mistari .Utapata matokeo mazuri kama utaanza kupakaa pindi stage za mwanzoni.
  • Sio tu Vitamin E,Olive oil ni chanzo kizuri cha antioxidants.Husambaza Oxygen katika makovu hufanya ngozi kuwa laini na supple.Kwa muda mfupi, hizo alama zitaanza kupotea kiasili.
Ukweli wa athari za Olive oil kwa Stretch marks
Stretch marks nyingi hutokea zaidi juu ya ngozi.Hata hivyo Olive oil hupakaliwa juu ya ngozi.Ni muhimu kujua kwamba haiwezi kufifisha mistari kwa ndani ,huondoa mistari kwa nje ya ngozi.
Matumizi ya mara kwa mara ya Olive oil huondoa mistari kwenye ngozi na haionekani vibaya.
Ngozi ya binadamu iko flexible,lakini haina uwezo wa kutanuka kuzidi uwezo wake.Ngozi hukua kwa haraka kipindi cha ujauzito ambapo ngozi haiwezi tena kuhimili kubanwa.
Olive oil hufanya kazi lubricant ambayo husaidia kutanuka kwa ngozi bila ya kupasuka.Kutumia Olive oil hufanya ngozi kuwa laini na huwa haina maumivu kwa kutanuka kwake.  Jinsi ya kujisugua au massage na Olive oil kwenye stretch marks.
Olive oil kwa stretch marks kipindi cha ujauzito ni solution nzuri ambayo utakua umeipata.Tumia maji ya uvuguvugu na olive oil kwa kujisugulia maeneo husika.Hii itasaidia kwa haraka kusambaza mzunguko wa damu katika  hizo sehemu kwa upana zaidi.Acha olive oil kwenye ngozi kwa muda wa saa nzima ili ngozi ifyonze Vitamins kwenye mafuta vizuri.Fanya hivi kila mara kwa muda wa wiki .

SHARE!

Tuesday, November 4, 2014

FAIDA ZA HILIKI

1:09 AM // by Kalma // No comments

HILIKI
Hiliki ni asili ya ukijani katika misitu huko India.Kiungo hiki hutumika sana katika misosi India,pia hutengenezwa kama dawa katika Ayurvedic kama tiba ya ulcers ya mdomo,tatizo la uyeyushwaji chakula,na uchovu.Baadhi ya faida za kiafya za hiliki ni kali lakini tamu,uchachu pia, kwa sasa inachunguzwa kisomi zaidi.Ni vizuri kutumia hiliki katika vyakula vyetu sio kwa sababu ya ladha peke yake ,lakini faida za kiafya ndo kubwa la kuliangalia hapa.
Hiliki ,kiungo kikuu kitumikacho zaidi India sio kuongezea ladha bali ni tiba kuu pia.
Hizi ni faida chache za kiafya za hiliki:


  1. Huongeza au husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.Ni kisababishi kikuu,husaidia kupunguza acid na bloating.Kunywa chai ya hiliki huondoa maumivu ya kichwa ambayo yamesababishwa na tatizo la uyeyeushwaji wa chakula.
  2. Huongeza,huleta hamu ya kula na hurahisisha au kutibu mchefuko wa tumbo.
  3. Kutafuna hiliki huondoa harufu mbaya ya mdomo.
  4. Huongeza na kurahisisha mzunguko wa damu kwenye mapafu na husaidia kulinda na spasms or convulsions. Imeshauriwa kwa kiasi kidogo kula hiliki kwa mtu anaesumbuliwa na pumu na kifua kama kifungua hewa katika mirija ya hewa .
  5. Kujikanada au kujichua kwa kutumia mafuta ya hiliki hutibu shida ya viungo na hutuliza maumivu pia.