• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Tuesday, December 31, 2013

CHAKULA KIZURI KWA MTOTO

10:14 AM // by Kalma // 1 comment


Kutokana na kuwa na utumbo mdogo, watoto hawali sana.Ndio maana ni muhimu kuwa na uhakika wa chakula wanachokula kina lishe nyingi za kutosha na zote.Jifunze au jua jinsi ya kuweka muda wa kula kwa watoto ili wapate hizo lishe bora kwao. 
Muda wa mzuri wa kula
Kiujumla,chakula cha nguvu ni kwa kuanzia watoto wa miezi sita (6)na kuendelea,pindi kinapoandaliwa  zingatia akili ya ulaji wa mtoto wako.Lakini vizuri pia uzungumze na mkunga au daktari wa watoto kabla ya kumpa mayai,samaki,citrus,na maziwa ya mtindi kama mtoto wako mdogo chini ya mwaka kwasababu vyakula hivyo huweza kusababisha allergy.Vyakula vingine kama nyama,matunda,na mboga mboga huweza kuanza kumlisha mtoto wa miezi 6 .Ila kumbuka vyakula hivyo vya aina yoyote kisitambulishwe kwa mtoto wa miezi mine(4).
Japokuwa watoto hukua kwa utofauti,ni vizuri kutafuta ushauri wa daktari au watu wazima dawa wale, kwa kujihakikishia pindi unapotaka kumuanzishia chakula mtoto na pia kipi ni bora zaidi kwa huyo mtoto wako.
Ndizi
Ndizi zina wanga (carbohydrates) mwingi,amabayo hutia nguvu,vile vile fiber kwa kusuport kulainisha mmeng’enyo chakula tumboni.Ni kizuri na chepesi kuwa chakula cha mtoto,na huwa rahisi kuiva kwake.Pindi unapoandaa ndizi kwa mtoto mdogo,hakikisha imeiva vizuri na imepondeka vizuri.Kwa mtoto mkubwa anaweza kula ndizi kama ilivo yaani nzima,lakini iwe pia imeiva vizuri iwe rahisi kwa mtoto kuisaga na kuimeza kwa urahisi zaidi.

Viazi vitamu
Viazi vitamu ni kizuri chenye chanzo ya potassium, vitamin C, na fiber na wingi wa beta-carotene, ni antioxidant ambayo husaidia kulinda aina za magonjwa cancer na kusafisha free radicals.Watoto wengi hupenda viazi vitamu zaidi kuliko mboga mboga kwasababu ya ladha yake ya utamu wa asili.Pindi unapopika hivi viazi viponde au kusaga,viazi vitamu ina ulaini ambao ni rahisi kwa mtoto kuvila,hata kwa watoto ambao ndo wanaanzishiwa kula solids au vyakula vigumu.


  Parachichi(avocado)
Parachichi wakati mwingine huwa kama mboga,lakini hilo ni tunda!Ina  lishe nyingi kuliko aina ya vyakula vingine vifananavyo na parachichi.Parachichi lina protini nyingi katika mafungu ya matunda na ni tajiri wa mafuta (fat)-“ni nzuri” aina hii ya mafuta inavilinda vidudu au diseases vya ugonjwa wa moyo.Hakikisha unampa mtoto parachichi liloiva vizuri .Osha nje ya hilo tunda,kisha menya maganda na lisage liwe laini.Sababu lina mafuta mengi kwahiyo mara moja mtoto kushiba,mpe kidogo na chakula kingine,huweza kuwa kuku au nyama laini.

mayai

Mayai ni mazuri.Yai leupe  huwa ni protein tu na kiini kina zinc na vitamins A, D, E, na B12.
Kiini pia kina choline, research inaonyesha ni nzuri kwa afya ya maendeleo ya kukuza akili.Kimila,madaktari wa watoto huwa wanashauri  walezi wasiwape watoto mayai—na sana sana ile nyeupe—mpaka baada ya mwaka kwa sababu ya matokeo ya alergy.Lakini huo ushauri kwa sasa umebadilika,na baadhi ya wataalam  wanaamini kwamba  mayai yacheleweshwe kwa familia ambazo zina historia ya matatizo ya allergy.Wakati mayai ni chanzo kikuu cha protein na lishe nyingi nyingine,shauriana na mtaalam wako pindi mtoto wako ameanza kula vyakula kuangalia kama ni SAWA au kipindi gani itafaa kumpa mayai mtoto wako.
Kwa upande wangu nashauri mayai mazuri ni ya kienyeji  na sio ya kuku wa kisasa au kizungu  kwa sababu ya dawa na muda wa utotolewaji wake pia ni mdogo.



karoti
karoti ina wingi wa beta-carotene, na  antioxidant ambayo hutoa ile rangi ya orange.Beta-carotene hubadilishwa kuwa  vitamin A mwilini na huchukua nafasi ya kukuza ukuaji na afya ya kuona.Kupika karoti huleta ladha ya asili yake ya utamu,ambayo hupendwa na watoto sana,ambao wamezaliwa wanapenda  ladha ya vitu vitamu.Unapoandaa karoti kwa mtoto mdogo,hakikisha zinaiva sana hadi kuwa laini.Kama mtoto mkubwa na anweza kula ikiwa nzima ilioiva haijalainika huwa nzuri zaidi,unaweza kumlisha ilopikwa kidogo tu. 


Maziwa ya mtindi
Maziwa ya mtindi humpatia mtoto  calcium, protein, na phosphorus,ambazo ni muhimu kwa kukamavu au kutia nguvu,mifupa yenye afya na meno. Maziwa ya mtindi yana probiotics,ni aina ya bacteria mzuri ambae anasidia katika mfumo wa usagaji chakula na kusupoti  immune system. Watoto wanahitaji sana mafuta katika mlo wao,kwahiyo chagua maziwa mazuri ya mtindi ambayo yana mfuta kidogo,au yana aina ya mafuta tofauti tofauti .Pia epuka maziwa ya mtindi ya ladha au flavored,ambayo huwa yana sukari nyingi.Kama unahisi kuongezea ladha,changanya na matunda yalosagwa.Mtoto chini ya umri wa mwaka huweza kuwa na matokeo mabaya ya protein inayopatikana kwenye maziwa ya mtindi,usisite kushauriana na daktari wa mtoto wako kabla hujampatia maziwa hayo . 

Baby cereal
Iron-fortified infant cereals humpa mtoto wako madini ya chuma yanayotakiwa katika ukuaji wake. Watoto huzaliwa na madini ya chuma,lakini huanza kupungua au kuisha kuanzia miezi5-6.Maziwa ya mama hayana hayo madini ya kutosha,ni muhimu kutengeneza vyakula vyenye hayo madini chuma.Kama mtoto wako ameanza kula vyakula,wataalam wengi wanashauri iron-fortified rice cereal ni chakula cha mwanzo kwa sababu ni aghalabu kuleta au sababisha allergy kama nafaka nyingine.Pindi mtoto anaendelea kukua,unaweza kuchanganya infant cereal na matunda.Ni vizuri ikawa laini au nyepesi na matunda kama pear, peach,na plum.



Cheese
Cheese ni nzuri yenye  protein –ni muhimu kwa ukuaji-- na calcium kwa kujenga mifupa imara na meno. Cheese ina dose ya afya ya riboflavin (vitamin B2),ambayo husaidia kubadili protein, fat, na carbohydrates katika mfumo wa nguvu au energy. Swiss cheese kwa kawaida ni tamu na laini kwa watoto.Japo  cheese huweza kuwa  choking hazard,au kukatwa vipande pande. Ni nzuri kwa watoto wanaokula vitu vizima kama kidole na hutumika kwa vitu vingine pia .

kuku

kuku ana protein na ni chanzo cha vitamin B6,amabayo hutumika kusaidia kutia nguvu mwilini  tokea kwenye vyakula.Ni muhimu kwa watoto kuanza kula mara kwa mara chakula chenye protein hata kwa uchache wake kusaidia ukuaji wa mtoto.Kama mtoto wako hapendi ladha ya kuku ile yenyewe,mchanganyie na matunda anayopenda au mboga anayoipenda.


Citrus fruits

Citrus fruits, ikiwemo  chungwa, ndimu, na zabibu,ni nzuri na chanzo  cha vitamin C,ambayo husaidia kutengeneza  collagen inayopatikana kwenye mishipa ,mifupa,na tissues nyingine mwilini. Vitamin C pia huponesha palipoumia na kusaidia kuyeyuka kwa madini chuma kutokea kwenye vyakula vingine. Citrus fruits pia ina potassium, madini amabyo yanasiadia misuli kujikunja na kufanya kazi vizuri na kumaintain afya  ya fluid balance mwilini.kuwa makini acid isizidi kwa mtoto,ni vizuri zaidi kutompa mtoto citrus fruits mpaka baada ya kutimiza au baada ya mwaka.
 
Nyama nyekundu(red meat)
Nyama nyekundu huleta kwa urahisi ya kuyeyusha aina ya madini chuma kwa mtoto wako.Madini chuma husaidia seli za damu nyekundu kubeba Oxygen kwenda kwenye seli kupitia mwilini na ni muhimu kwa kukuza akili au ubongo.Kwa bahati mbaya,upungufu wa madini chuma –ambayo huweza sababisha madhara katika usomaji na tabia pia-ni moja wapo ya upungufu wa lishe kawaida kwa watoto.Ndio maana ni muhimu kuhakikisha mtoto wako anayapata haya madini chuma,kutokea kwenye nyama nyekundu,na vyanzo vingine katika mlo wake.Kwa watoto wadogo,weka nyama yenyewe haswa,kama beef na karoti.Watoto wakubwa ambao wanaweza kutafuna ipike vizuri kisha watumie hivyo.

Butternut Squash

Butternut squash ni nzuri kwa watoto sababu wanapenda ladha ya utamu.Ni chanzo kizuri cha antioxidant beta-carotene na pia ina vitamin C, potassium, fiber, folate, B-vitamins,na ina omega-3 fatty acids.Ni rahisi kutayarisha nyumbani kama utanunua ilo prepeeled, precut squash inayopatikana wanapotengeneza.Chemsha ichemke vizuri,kisha ikoroge mpaka ilainike.Tengeneza na uwaandalie kwa familia ni nzuri sana na ina ladha nzuri pia.


Samaki

Samaki weupe,kama vile haddock na cod,ni wazuri sana kwa protein,ambayo watoto wanaihitajia kwa maendeleo ya kukua. Samaki wa mafuta , kama salmon, huleta fat-soluble vitamins na mafuta yenyewe fats, kama DHA,ambayo inakuza akili na macho na kukuza mfumo wa immune. Samaki huweza sababisha allergy,kwahiyo ongea na  mtaalam wa watoto kabla hujampatia mwanao.Kama iko POA,basi utamsababishia mtoto afya nzuri.Wataalam wanashauri ni vizuri kumlisha mtoto samaki mara mbili katika mlo wake kwa wiki yenye mercury kidogo,kwakuwa ina faida nyingi za kiafya kwa mtoto.

Nyanya 
Nyanya ina lycopene nyingi, pigment nyekundu katika nyanya ina fanya kazi kama antioxidant kusaidia kulinda na cansa na vijidudu vya moyo. Lycopene huweza kuyeyeuka ikafanya kazi vizuri mwilini kama nyanya itakua imepikwa vizuri na mafuta.Kwahiyo tengeneza sauce ya tomato na tambi kwa kupika nyanya na mafuta ya olive oil.Saga iwe laini kwa watoto wanaoanza kula.Sauce ya kutengeneza nyumbani ina sukari,na chumvi kidogo kuliko ya kununua,na ni nzuri kwa familia yote.Hivi huna tomato fresh?basi hata za kwenye makopo ni nzuri pia. 


Peas

Peas huwa ina burst pamoja na vitamin K,lishe ambazo zinafanya kazi pamoja nazo ni calcium husaidia kujenga mifupa. Peas ni chanzo cha antioxidant vitamins A na C, na pia folic acid B vitamins. Na kumuwekea peas mtoto kwenye sahani yake ita boost fiber katika mlo wake,na ni muhimu sababu wataalam wameona watoto wote na hata na watoto wakubwa pia,hawapati fiber ya kutosha.Kusaga chakula cha watoto basi peas ni rahisi sana .



Broccoli
Broccoli ni kwakweli ni chakula kizuri ,ni chanzo kikuu cha vitamin C na pia ina beta-carotene, folic acid, madini chuma, potassium, na fiber.Kuchemsha broccoli katika maji hupunguza karibu nusu yake ya vitamin C ilokuwemo,kwahiyo ni vizuri kuisteam au kuweka kwenye microwave. Kama mwanao nimpenzi wa ladha ya broccoli,mchanganyie na kitu kitamu au mboga anayoipenda ,kama viazi vitamu au butternut squash.

 Tambi(pasta) 

Tambi ina carbohydrates nyingi,ambayo huvunjwa vunjwa kusambaza guvu mwilini.Na ina ladha nzuri na ziko za shape nyingi tofauti tofauti zenye fun kibao,ambazo huvutia kwa watoto wa rika zote.Tambi nyingi zina  vitamins na madini, kama folic acid,madini chuma, and B-vitamins. Ni mchanganyiko wa nafaka na ngano nzima ina fiber, lakini texture yake huweza kuwa nzito kwa mtoto .Tambi zenye shepu au umbo dogo dogo zipikwe vizuri hadi zilainike huwa ni chakula kizuri kwa watoto hata wakubwa kubwa pia mdogo.

 

Friday, December 27, 2013

SABABU ZA KUTABASAMU

8:31 AM // by Kalma // No comments

SABABU ZA KUTABASAMU
Mara ngapi huwa unacheka kwa siku?Unacheka ukikutana na watu wapya?Pindi unapokutana na rafiki zako?Ukiwa na wafanyakazi wenzako?
Uso wako una mishipa 44 ambayo huruhusu kutenegeneza zaidi ya 5,000 aina tofauti tofauti ya muonekano,nyingi zao ni kutabasamu.
Kutabasamu ni kuzuri kwako wewe mwenyewe, kwa afya yako,na maisha ya kijamii kwa ujumla!
Kitendo rahisi cha kutabasamu(smiling) ni hukufanya muonekano wakirafiki zaidi-hubadili maisha yako na maisha ya wengine waliokuzunguka.

Hizi ni sababu kutoa kicheko mara zote zaidi:

1.Ina boost immune system
Kutabasamu hubadili makemia ya mwili wako.kutabasamu wana medical studies wamegundua kunapunguza ugonjwa wa moyo,hufanya kuhema vizuri na kuupumzisha mwili,ambayo hujenga umadhubuti wa immune system.
2. Itabadili  hisia yako
Psychologists wamegundua kama ukitabasamu kwa 60 dakika,haijalishi umedanganya au umejilazimisha hisia hizo,hutoa serotonin ambayo inaufanya mwili wako ujisikie ni wenye furaha tena. 
3.Hupunguza blood pressure
Kama una tabasamu, endorphins huja juu na blood pressure hushuka.Huweza kujua kama utapima presha yako kabla ya kucheka na baada ya kucheka utagundua iko tofauti.
4. Inaboresha hisia
Fikiri tena kusema Asante kwa chocolates.Kutokea kwa British Dental Health Foundation,tabasamu yenye mapenzi yaani ilotoka moyoni ile huweza kuwa sawa na kuzalisha hisia nzuri inayofananishwa na kula 2,000 chocolate bars!
5.Hulainisha moyo
Mara nyingi imeonekana tabasamu la kupangwa hulainisha moyo yaani huondoa chuki na ghadhabu,na huwa ni tabasamu la mvuto,la kutoa ishara ya uaminifu ulokuwa moyoni na upendo wa kusafiana nia. 
6. kukumbukwa
Yatoe meno meupe kama mng’ao wa almasi,katika interview yako nyingine. Kama ni mwenye kutabasamu,ni mara tatu kuwa unakumbukwa zaidi kuliko Yule ambaye anayejionyesha au mwenye vitu vya asili.
7. Ni njia ya mafanikio
Watu wengi wanaopata promotion.Kutabasamu kwao wao ni kivutio chao cha asili.Zaidi watu hao ugunduzi wa kisaikolojia umeonesha watu wenye kuvutia huwa zaidi ni wenye mafanikio,intelligent,na ni marafiki sana.
8. Hukufanya kuonekana mdogo( younger)
Kutabasamu ni asili ilo usoni mwa mtu! Husukuma seli katika ngozi yako na kutoa mng’aro flani hivi.Hata hivyo ugunduzi ulofanyika karibu 69% ya watu wamegundua kwamba wanawake huvutia zaidi kwa muonekano pindi wanapotabasamu kuliko wanapojitia au kupakaa makeup.
9. Maisha marefu
Pindi unapotabasamu,ni ngumu kutokuwa mkweli wa hilo tabasamu.Na ukweli huo ndio unaoongeza siku zako za kuishi. Researchers wa Columbia University wamegundua watu wenye furaha zaidi or( happier) mara nyingi hupunguza hatari ya matatizo ya moyo.
 10. Hupunguza stress
Ni muhimu kwa afya yako ,pia,hushusha blood pressure,huongeza mmengenyo wa chakula,na kupangilia blood sugar.Tambua kwamba tabasamu  hufanya kazi  kipindi  cha kazi ngumu ,pia! Mathalani uko kwa kipindi kigumu  au umebakiza dakika tano(5) kuikamilisha hilo au jambo lako,tabasamu huweza leta maajabu!


A quote to smile about
“A smile costs nothing, but creates much. It enriches those who receive, without impoverishing those who give. It happens in a flash and the memory of it sometimes lasts forever.” - Dale Carnegie, How to Win Friends and Influence People.

Friday, December 20, 2013

MAPELE YA NDEVU.

9:08 AM // by Kalma // No comments

MAPELE YA NDEVU
Mapele ya ndevu  hudharauliwa ,wakati mwingine huwa yanaleta maumivu ambayo huwa ni mbaya yakiendelea kama hayatatambulika na kutibiwa ipasavyo.Ni vizuri kuepuka na hiyo hali kwa kuchukua tahadhari ,kama kutotumia wembe wa zamani au uliochakaa na kufanyia kazi matibabu wewe mwenyewe.Maji ya uvguvugu ya chumvi husaidia kama mapele yataendelea.
Topical antibacterial creams na  lotions husaidia kupunguza dalili za mapele hayo.Ila kwa kesi iliyokomaa ya mapele,dawa za antibiotics huwa ni lazima kutibu shida hiyo vizuri iwezekanavyo.

Vinginevyo hujulikana kama barber’s itch,mapele ya ndevu hutokea pindi vinywelea katika ndevu zinapokuwa vimeathiriwa na bacteria.Kwa kawaida,bacteria wanaosababisha hali hiyo huwa hawana uwezo wa kuvunja au kupita katika viziwizi vya ngozi,lakini baada ya kunyoa ndevu na kuvunja ile kizuizi,vinywelea vinaruhusu bacteria kuleta madhara katika follicles.

Kwa hali hiyo,kwa upande wa kitaalam  hujulikana sycosis barbae,hutokea ikiwa na rangi nyekundu kabisa,na huwa mapele kabisa yanauma huanza kidogo,hufikia hata kuwa kama jipu.
 
Njia nzuri ni kuepukana na hali hii kwa pamoja ni kwa kufuata masharti ya kujizuia.
Kwanza,fuata mfumo mzuri wa kujitibu wewe mwenyewe,osha uso na mikono mara kwa mara kuzuia maambukizi ya bacteria.Usitumie wembe mchafu au usoruhusiwa ,na epuka kurudia  kutumia disposable.
Hii inajulikana yaani maarufu: kuepuka kushare vifaa kama kitana na mtu mwingine,kufanya hivyo huleta maambukizi.Na kunyoa ndevu pindi uso una maji unajihisi ni vizuri zaidi ila huleta kwa urahisi maambukizi ya bacteria,sababu ngozi huwa ni rahisi kwa bacteria kupenya. 
Kama unahisi una mapele ya ndevu,inabidi uepukane na kunyoa,mara kwa mara,au uwe unafanya baada ya muda mrefu,hamia kwa shaver za umeme.Shaver za umeme zina madhara kidogo.Kwa mpango huo
  Tea tree oil huenda ikafaa.Tea tree oil hufanya kazi kama antiseptic na ni antibacterial.Tafuta pia aftershave lotion
 ambazo zina tea tree oil,na huenda ikawa ina faida ukiitumia kupaka kila baada ya kunyoa ndevu,na hata kabla ya dalili za hayo mapele.
Kwa kesi nyingine ndogo,vijipu au majipu meupe yale hujitengeneza kama mapele makubwa.hayo tumia chumvi  
Iliyolowekwa kwenye maji ya uvuguvugu kwa dakika 15 mara mbili kwa siku husaidia kutibu hali hiyo.Kama mapele hayajapoa au kupona au kuonesha dalili hata za kupona baada ya siku kadhaa au yanazidi kuwa hali mbaya,unatakiwa umuone daktari kwa ushauri .

Na wakati mwingine tumia topical antibacterial cream,kama vioform au mupirocin
  ambazo utaandikiwa .Kwa kesi kama hizo na zaidi utahitajika kutumia dawa za  oral antibiotics .
Mapele ya ndevu ,yaliyodharauliwa au hayakutibiwa mapema ,huwa sugu yenye hali mbaya na husababisha mabaka au makovu.
Hali kama hiyo huweza sababisha sukari diabetes au autoimmune disorders, na huwa hayaishi .
Pindi uonapo hali ya mapele ya ndevu,ni ishara ya kutaka kuyaondoa.Kwa mpango huo yabidi ufanye jitihada ya kuyatibu wewe mwenyewe na kuchukua tahadhari mapema ya kuepusha kuwa hatari mbaya.

 Jinsi ya kuondoa mapele ya ndevu nyumbani.
Lowesha kitambaa cha kujifutia katika maji ya baridi.Kisha kamua maji kisha weka sehemu yenye mapele kwa dakika 10 kuunguza kuvimba na wekundu.Kausha ngozi tena kwa kitambaa kikavu. 
Kata kata strawberry 2
 na kijiko cha kula kimoja (1) cha sour cream
ndani ya bakuli.Saga mchanganyiko huo ulainike vizuri waeza tumia blender.Pakaa mchanganyiko huo kwenye sehemu yenye mapele usoni mwako na acha kwa dakika 10 hadi 15 kulainisha sehemu iloathirika ilosababishwa na mapele hayo.

Pangusa mchanganyiko huo na kitambaa cha kujifutia.Kisha futa ngozi na kitambaa au taulo safi.Tembelea jinsi ya kuosha uso.

Lowesha kipande cha pamba ndani ya kuoshea uso ya antiseptic. Kwa taratibu pangusa au sugulia hiyo antiseptic katika mapele kuyasafisha na kuzuia maambukizi ya chunusi.Tembelea jinsi ya kuondoa chunusi.Kisha futa na kitambaa au taulo kavu.

Siliba au pakaa hydrocortisone cream katika mapele ,mara mbili kwa siku kwa siku unayonyoa ndevu,husaidia kuondoa maambukizi,wekundu,na mabonde yanayotokea pindi unaponyoa au kushave.
TIPS:
  • Yeyusha asprin katika maji na pakaa katika mapele baada ya kunyoa ndevu,huondoa maumivu na huunguza mapele yaani huyakausha.
  • Tumia viwembe vya umeme kupunguza mapele ya wakati wa kunyoa.Kisha tumia vilainisha ngozi maalumu vya baada ya kunyoa .
·         Mara zote nyoa kwa kufuata muelekeo wa ndevu unavokuwa kuepusha maambukizi.
·         Benzoyl peroxide cream,

HHutumika kufifisha chunusi,huweza tumika pia kuondoa mikunjo ya baada ya kushave.