• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Friday, January 24, 2014

NJIA ASILI 12 ZA KUONDOA HARUFU MBAYA MDOMONI.

1:47 AM // by Kalma // No comments

Kuna mtu alinitumia ujumbe mfupi juzi kati hapa kwamba, dokta wake kamwambia aache kutafuna chewing gum na kufyonza pipi hizi,ambayo ilikua ikimsababishia tumbo kujaa gesi.(Nikaiangalia hiyo nikaona na kutokana na Mayo Clinic,yote ni sawa na ni kisababishi kikubwa kwa watu wengi tu kwasababu unavuta hewa…kufyonza mrija pia ni sababu ya gesi).Anyway,aliniuliza kama najua tiba yoyote ya asili ambayo inaweza kuwa kitunguu au kituungu thoum ili aondoe harufu ya mdomo, tokea apo hivyo ndio viungo anavyovipenda yeye.(mimi mwenyewe nimeanza kutumia hizi).
Kwahiyo nikafanya uchunguzi ,kujaribisha mawazo mengi mengi tofauti,nikaona nisiwe mchoyo nanyi muyajue.Nahisi tumbo langu limeshachoka na hizi kahawa nazokunywa!Labda utafiti mwingine ujao utaangalia jinsi ya kutoa caffeine baada ya kuwa nyingi tumboni,sijajua athari kuhusu kama vitunguu,tangawizi ,viungo,n.k.
 CHAI YA KIJANI(GREEN TEA) 
 Green tea ni tajiri wa polyphenol,ina antioxidant yenye nguvu sana ambayo itaondoa plaque kuenea kwenye meno yako. Polyphenols imeonekana kuzuia bacteria kukua katika mdomo.Kwahiyo kufyonza chai ya kijani husaidia kuondoa harufu chafu ya vitunguu.Spinach ,chai ya rangi,apples na mushrooms pia nazo zina polyphenols, unaweza pia kutumia aina hii ya vyakula na kinywaji baada ya kujiona mdomo unatoa harufu iliosababishwa na mlo wako.Mimi binafsi napenda chai labda inanisaidia.
MATUNDA NA MBOGA FRESHFiber-nyingi hupatikana kwenye matunda na mboga, husaidia kuondoa harufu mbaya ya mdomoni(na kujisikia umeshiba muda wote,ambayo husaidia kupunguza uzito).Fiber kwenye vyakula vingi husaidia kutengeneza mate,ambayo husaidia kusafisha plaque zinazojijenga.Fiber imo kwenye vyakula kama cerely,apples,na karoti.Enzymes wa asili wanaptikana kwenye apples ,berries,nanasi,na kiwi huondoa sulfur compounds na huondoa harufu mbaya ya mdomoni.Mboga zenye vitamin C,kama red bell peppers na broccoli husaidia kutengeneza mazingira ya kuzuia bacteria wa mdomoni,pindi inapoliwa hufanya kazi hiyo.Hivi vyakula pia husaidia kuondoa mabaki ya vyakula katika meno pia.
 MAZIWAKufyonza maziwa huondoa harufu mbaya ya mdomo kama utakunywa kabla au wakati wa kula (according to a Journal of Food Science 2010 study). Mafuta katika maziwa huyeyusha sulfur wakati maji kwenye maziwa huwa kama kisuuza mdomo.Siwezi kula maziwa bila cookies sa sijui hii inafanya kazi hapa.Kunywa maziwa baada ya kutumia chakula chenye viungo hii haisaidii kuondoa harufu mbaya. 
MKATEKukosa carbs katika mlo wako huchangia harufu mbaya ya mdomo.Kula kipande cha mkate husiadia kuleta harufu nzuri mdomoni.Baada ya kula kipande cha kitunguu,kipande cha mkate  kitasaidia kuondoa harufu mbaya mdomoni,lakini ladha hubakia kwenye ulimi.Hata hivyo ukila kipande cha mkate huondoa hiyo harufu na utakua umehifadhi calories kwa matumizi mengine. 
MITI SHAMBA FRESHKabla ya mouthwash hazijajulikana,watu walikuwa wakitafuna miti shamba kuondoa harufu mbaya.Miti shamba ina chlorophyll,ambayo huondoa harufu na uchafu.Aina ya mitishamba mizuri na fresh ni mkama parsley,mint,binzari,basil,rosemary,thyme,tarragon na cilantro.Kama chakula chako kitakua na aina yoyote ya miti shamba tafuna kwa kuondoa harufu.Baada ya chakula pia unaweza tafuna yoyote  ambayo unao uwezo wa kuipata na huondoa harufu mbaya mdomoni.


HARADALI(MUSTARD)Ok,hii ni ngumu kujaribu lakini pia ijaribishe.Kuna njia mbili tofauti zipo katika haradali( mustard).Kwanza,chukua kijiko cha chai cha haradali weka mdomoni,sukutua kisha tema kwa dakika chache.Kisha chukua nusu kijiko cha chai cha haradali meza itaenda tumboni ambapo itaenda kuua harufu ya vitunguu thoum na vitunguu mwilini.Njia ya pili ,kuchanganya vijiko vya chai viwili vya mafuta ya haradali na chumvi.Kisha weka mdomoni huku ukichezea ndani ya mdomo,tema mate yatayojitokeza na iache haradali kwa dakika 30 . 

MAZIWA YA MTINDIOunches sita za maziwa ya mtindi husaidia kuondoa harufu mbaya na uchafu ambayo husababisha hydrogen sulfide na huua wadudu wa mdomoni. Tumia  kwa kunywa maziwa ya mtindi kila siku.
MBEGU & KAHAWA(COFFEE BEANS)Kutafuna karafuu,au hiliki,shamari(fennel),mbegu za anise, mara moja huondoa harufu mbaya mdomoni.Kama unahisi unatatizo la aina ya vyakula kwa sababu ya meno,kuwa makini na hizi pia.Kula kahawa(coffee beans) ilo kaushwa ni nzuri zaidi na huondoa harufu kwa haraka zaidi. 
 
NDIMU Kulamba ndimu au kutafuna ganda dogo la ndimu ni nzuri kwa kuondoa harufu mdomoni pia.Lakini juisi ya ndimu ina acid na huweza kuwa mbaya kwa meno yako,husababisha meno kupata ganzi.
JUISI YA SIKI YA APPLENi nzuri!Sio tu kwa ajili ya kusukutua ½ kijiko cha chai cha juisi ya siki ya apple iliochanganywa na kikombe cha maji,husaidia harufu pia,huondoa harufu ya vitunguu na huwa ni ladha pia ulimini.Kuchanganya na maji,huondoa ule ukali wake na utausikia mdomo uko vizuri mwepesi.Naifanyia kazi post zijazo kuhusu juisi ya siki ya apple na matumizi yake.

BAKING SODA Kutengeneza mouthwash ya baking soda na maji ni tiba ya asili ya muda mrefu.Tumia hii kwa kusukutua mara moja kwa siku.
MAJI Pindi unywapo maji baada ya kula vitunguu au vitunguu thoum unaweza kuhisi haiondoi harufu na uchafu hapo hapo,kunywa maji mengi kwa mpangilio au utaratibu maalum husaidia  mdomo kuwa fresh na harufu nzuri muda wote.Maji yanasaidia kuondoa bacteria wa kwenye chakula na huzidisha utengenezwaji wa mate kwa wingi,na pia huwa kama ni kiosha au kisafisha mdomo cha kudumu. 
Of course kupiga mswaki meno yako,mouthwash,flossing na kusafisha ulimi utaweka mdomo wako kuwa na harufu nzuri na fresh na pia huwa oral hygiene mzuri.
Harufu mbaya ya mdomo inakera ukiangalia vyakula vyenyewe hivi aina za viungo na uzembe wa usafi unaoweza sababisha hata ukavu wa mdomo,vijidudu vya kwenye fizi, na vijidudu.Kama utagundua tatizo hili la harufu mdodmoni inaendelea,muone daktari wa meno kwa tiba na ushauri zaidi.

Wednesday, January 22, 2014

NJIA 10 KUU ZA KUTIBU FANGASI YA KUCHA.

6:09 AM // by Kalma // No comments

KUTIBU FANGASI YA KUCHA
Fangasi ya kucha,hujulikana kama onychomycosis ni tatizo sugu linalowakumba wanawake hata wanaume pia.Dalili zake inflammation,kuvimba,maumivu ya hali ya juu,kucha kusinyaa au kuwasha Visababishi vingine ya fangasi ya kucha ni kuvaa synthetic socks,kuwa katika mazingira ya  unyevu nyevu,PH level ya ngozi kuwa sio kawaida,mfumo wa immune system mdogo,viatu vyenye majasho,uchafu,na kisukari.
Kama fangasi ya kucha haitachukuliwa tahadhari mara kwa mara huweza kusababisha kukatika kwa kucha,splitting,na hata kuimaliza kucha na kutoka kabisa.well,habari nzuri ni kwamba fangasi ya kucha hutibika bila hata ya kutumia pesa kwa bill za dawa.Kuna njia za kufanya zinatibu fangasi kwa mwezi au miezi miwili.
Njia kuu 10 za kutibu fangasi ya kucha.
1.Tea tree oil
Tea tree oil ina antiseptic kama zilokuwemo kwenye fungicide ambayo husaidia sana katika kutibu aina hii ya fangasi.Haya mafuta hutumika kutibu athari katika ngozi pia.Kama unatatizo la aina hii ya fangasi ,chukua tea tree oil yenyewe tumia pamba pangusia mafuta hayo katika sehemu ilo athirika acha kwa dakika 10 kisha mswaki kwa kusugulia kwenye hiyo sehemu yenye fangasi.Kabla ya kupakaa mafuta hayo kwenye ngozi,yachanganye na olive oil sawa na kiasi cha tea tree oil au tumia thyme oil.Hutibu fangasi kama sio ya muda mrefu au iliokomaa,au sugu.
  
 
2.Baking soda
Baking soda ni rahisi kupatikana nyumbani hutibu fangasi pia.Chukua kikombe nusu cha baking soda,vikombe vinne vya maji moto,moja ya nne ¼ ya kikombe cha peroxide na nusu kikombe cha chumvi ya Epsom.Changanya hizo zote  vizuri na kisha moja ya nne ¼ ya kikombe cha white vinegar katika mchanganyiko huo.Lowesha sehemu ilioathirika na vinegar kwa dakika chache kisha pakaa ule mchanganyiko kwenye hiyo sehemu tumia pamba na kisha ifunge hiyo pamba kwenye hiyo sehemu iloathirika kwa fangasi.Tumia njia hii kila baada ya saa 10 kwa muda wa wiki nne. 
3.Mafuta ya machungwa
Njia nyingine ni kutumia mafuta ya machungwa.Aina zote za machungwa ni antifungal nayo huweza kutibu fungasi.Kwa kudondoshea kitone cha mafuta hayo kila siku katika hapo penye fangasi,juu,chini na katikati ya kucha na iache kwa saa moja.Pia unaweza ukaichanganya hayo mafuta ya machungwa sawa na mafuta mengine yoyote ,kama mafuta ya mbegu za zabibu.Kama mafuta ya machungwa yataleta allergy na kusababisha madhara,ni vizuri kujaribisha kwenye ngozi kwanza kabla ya kuyatumia kwa kujitibu

4.White vinegar
White vinegar ni moja wapo ya tiba nzuri ya fangasi ya kucha.Changanya kama kijiko kimoja cha vinegar na vijiko viwili vya maji ya vuguvugu.Kisha lowesha sehemu iloathirika na mchanganyiko huo kwa dakika kumi hadi kumi na tano kila siku.Kama utahisi ngozi inaungua zidisha maji kidogo kwa vinegar.Ni muhimu kukausha eneo la fangasi baada ya kunawa au kuoga,la sivyo fangasi itaenea na kuambukiza kwengine.

5.Kitunguu thoum
Kitunguu thoum kina allicin,ambayo ina antifungal na hutibu fangasi pia.Kwa kutibu mara ya kwanza tumia mafuta ya kitunguu thoum changanya sawa na vinegar namaanisha kipimo cha vinegar na mafuta viwe sawa.kisha pakaa eneo la fangasi na pembeni zake kisha funga tumia bandage.Ikiwa mafuta ya thoum hayapatikani,tengeneza mwenyewe kwa kuisaga,chukua vitunguu thoum viwili kisha changanya na vijiko viwili vya kula vya olive oil.kisha iache kwa saa  24.Hata kula kitunguu thoum kimoja kila siku nayo ni dawa ya fangasi pia.

6.Juisi ya siki ya apple
Juisi ya siki ya apple ina acid ya asili na huweza kulinda na fangasi ya kucha kuendelea.hapo hapo juisi hii hupambana na vijidudu na huua bacteria.Chukua juisi ya siki ya apple changanya sawa kwa sawa na maji kwa kipimo chochote utachotumia.Kisha utaitumia kwa kuloweshea sehemu ya fangasi kila siku kwa muda wa nusu saa.Kama utafanya hivi kwa muda wa wiki kadhaa utaona mabadiliko kwa muda mfupi tu.Njia nyingine unga wa ground rice changanya na vijiko vichache vya juisi ya siki ya apple,pakaa na husaidia kuondoa ngozi iliokufa na kuiweka ngozi yako kuwa laini.


7. Listerine Mouth Wash
Listerine mouth wash inaua bacteria na germs mdomoni huweza kutibu fangasi ya kucha pia.Hii ni kwa sababu mouth wash hii ina alcohol yenye nguvu nyingi za antiseptic huweza kupambana na bacteria na fangasi pia.Chukua pamba lowesha hii mouth wash na vinegar na maji ya ndimu ambayo hayajachanganywa na maji.Kisha unaweza loweka miguu au mguu au ukapakaa mchanganyiko huo kwa dakika kumi hadi kumi na tano kila siku na kisha tumia kwa kusugulia pia.Fanya hivyo kila siku mpaka ile kucha ya zamani itaondoka itakuja mpya na nzuri.


8. Lavender Oil
Lavender oil ina volatile na antiseptic properties ambayo ina uwezo wa kupambana na aina yoyote ya infection na kuilinda ngozi kuharibika pia.Chukua kiasi cha lavender oil na tea tree oil changanya vizuri kisha fanya kuipasha iwe ya uvuguvugu kidogo.Kisha funga kwa kutumia pamba katika kidole mara mbili au tatu kwa siku.Na vizuri pia kupakaa mchanganyiko huo kabla ya kulala.

9. Oregano Oil
Oregano oil ina antiseptic, antibacterial, anti-parasitical, antiviral, analgesic na antifungal pia.Huweza tumika kutibu fangasi ya kucha.Chukua matone mawili ya mafuta ya oregano na changanya na vijiko viwili vya chai vya olive oil.kisha pakaa kwa fangasi kwa siku mara moja.Fanya hivyo kwa muda wa wiki tatu. 
 
10.Juisi ya ndimu
Juisi ya ndimu ina antiseptic na ni antifungal pia.Citric acid iliyomo kwenye ndimu husaidia kumaliza fangasi za kucha na kutoambukiza.Chukua juisi fresh ya ndimu na pakaa direct sehemu yenye fangasi na uache kwa dakika 10 kabla ya kusuuza na maji ya uvuguvugu.Tiba hii irudiwe kila siku kwa muda wa mwezi mmoja mpaka uone matokeo mazuri.Njia nyingine changanya juisi ya ndimu sawasawa na olive oil na tumia mchanganyiko huo kusugulia au massage sehemu yenye fangasi.Olive oil itafanya ngozi yako kuwa laini na juisi ya ndimu itasaidia kuzuia madhara ya fangasi.
Kwa hizo tiba za asili hapo juu za kutibu fangasi ya kucha,matokeo yake hutegemeana na juhudi ya kuzitumia hizo dawa.Itumike kwa muda wa kuanzia mwezi na kuendelea ndipo utapoona matokeo mazuri. 


SHARE AND ENJOY !



Friday, January 17, 2014

6 VYAKULA MUHIMU KWA MJAMZITO.

5:36 AM // by Kalma // No comments

Unataka lishe ya ukwee kipindi cha ujauzito?Hakikisha hivi aina sita ya vyakula viko katika mlo wako.
 Unajua unatakiwa kila mara ule vizuri,lakini labda –labda –ufanye kujidanganya kidogo.Latte na dounat kwa asubuhi kama kifungua kinywa?wote tunakula hivo!
Kwa sasa unategemea au utajifungua,unajaribu kufikiri kwa umakini zaidi kwa kile ambacho unakula wewe mwenyewe kwa sababu chakula unachokula ni chanzo kikuu cha lishe kwa kumkuza mtoto wako.
Kipindi cha ujauzito,kwa mfano ,unatakiwa uwe na Protini na calcium kwa kukuza tissue na mifupa ya mtoto wako.Pia utahitajika ziada ya folic acid kwa kulinda upungufu wa neural tube kipindi cha kujifungua,na vile vile madini ya chuma mengi kusaidia seli nyekundu kubeba oxygen kupeleka kwa mtoto wako.
Anza na kula milo mizuri ya afya pindi cha ujauzito.
Nafaka nzima
Ni tajiri wa lishe, nafaka nzima na cereals ni hazina ya madini pamoja na folic acid na madini chuma na upate fiber nyingi kushinda mkate wa ngano na wali.Fanyia kazi,hakikisha unapata  nafaka nzima kwa siku yako:oatmeal kwa kifungua kinywa yaani chai ya asubuhi,sandwich kwa nafaka nzima mkate kwa mchana yaani lunch,na ngano utaipata kwenye pasta au brown rice kwa chakula cha usiku kwa kizungu dinner.

 
 


   Maharage
Weka na maharage meusi,meupe,pinto ,lentils,black-eyed peas,na ini,garbanzo,au maharage ya soya katika mlo wako.Jaribu hizo na pilipili na supu ,saladi,na pasta.Sio tu ina Protein na fiber,pia ni chanzo kizuri cha lishe nzuri,kama vile madini ya chuma,folate,calcium,na zinc.



Salmon
Omega-3 fatty acids ni nzuri kwa kujenga akili na macho ya mtoto wako,na salmon ni chanzo kizuri vile vile cha lishe.Ina Protein na Vitamins B za kutosha.Salmon pia wana mercury kidogo ukilinganisha na samaki wengine.Jaribu ya kubanika,broiled,au weka na salad juu.Iko salama tu na unaweza kula mpaka ounces ya 12 tu  ya samaki wenye mercury kidogo,kama vile salmon,huweza kula kwa wiki mara moja. 



Mayai
Mayai ni hodari na chanzo kizuri cha protein ambayo hupatikana amino acid inayotakiwa kwako na kwa mtoto pia.Inayo vitamins nyingi sana na madini ya kutosha ,ikiwemo Choline,ambayo ni nzuri kwa kukuza akili ya mtoto.Japokuwa hakikisha hauli au usile yalikuwa hayajaivaa vizuri au mabichi .
 
 Berries
Blueberries, raspberries, na blackberries ni snacks yenye ladha tamu na nzuri na haswa kama utaipata kwenye cake na juu ya cereals.Berries ina vitamin C,potassium,folate na fiber.


Maziwa ya mtindi yenye mafuta kidogo
Kikombe kimoja cha maziwa ya mtindi ambayo sio yaliyoongezewa ladha,maziwa ya mtindi yenye mafuta kidogo yana calcium nyingi kuliko maziwa ya kawaida,na yana protein nyingi pia,na huwa hayajaongezewa sukari ya ladha yaani flavored.Tumia maziwa hayo na matunda au crunchy,au nafaka nzima,na cereal.