• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Tuesday, January 7, 2025

8 MATUNDA UNAYOFIKIRI NI MBOGA

12:54 AM // by Kalma // No comments

8 MATUNDA UNAYOFIKIRI NI MBOGANyanya zilizokomaa ni nzuri, lakini unaweza kula mbichi? Kwa mkulima sio kitu rahisi.

Wataalamu wa mimea watakuambia nyanya ni tunda, na watu wengi wanajua hivyo. Lakini baadhi yao wengi hatujui haswa hii,nyanya kisheria ni mboga. 

Mnamo 1893, mahakama kuu iliamuru nyanya iwe kundi la Mboga”kulingana na jinsi inavyotumika, na ikawa maarufu kwa kujulikana hivyo mpaka mwishowe.Kama unashangaa kwanini mahakama kuu iliamuru kitu kama hichi , ilikuwa inahusiana na mambo ya kodi yaani Taxes. Kipindi hicho mboga zilikuwa zinalipiwa kodi, lakini matunda yalikuwa hayalipiwi kodi.

Kuna baadhi ya matunda tunafananishwa na mboga, imetokana na fikra za watu na jinsi yalivyokuwa yanatumika . Haya ni mengi yatakushangaza.

OlivesOlives ni matunda kwasababu yanatokana na matunda ya olive tree.Kama ungeniliuliza mimi, ningelikwambia olives yalikuwa ni mboga , na sio matunda. Lakini olive ni matunda kwasababu yametokea kwenye matunda ya olive tree. Matunda yanatokea kwenye ovary iliyopevuka ya mmea na ovary inayopatikana kwenye maua. Kwasababu hiyo mboga zote kwa kitaalam ni matunda-yanaota kutokea kwa maua.

BilinganiBilingani kiufundi ni berries –kweli, haya makubwa ! kweli haswaa  

Tunachukulia bilingani ni mboga. Sijawahi kuona likiliwa bichi. Ni matamu -au wakati mwingine ni chachu au chungu-sio tamu. Lakini sio hivyo kwa bilingani tu kwa  wataalamu wa mimea  ni tunda,wanaichukulia ni berries. Berry kubwa yaani kubwa sana.Sioni mimi binafsi kulitupa moja linapokaribia kuwa laini kwa wakati wowote .Boga,squash na zukini Boga,squash, na zukini yenyewe yanaanzia kwenye maua ya mfano wa mizabibu yaani vines.Boga na aina ya squash ,ikiwemo zukini, yanaanzia kwenye  maua ya vines na kiufundi ni matunda.TangoMatango,ni kama mpwa wa squash,nalo ni tunda. Matango yanafanana sana na maboga na squash, na ni kama mtu na mpwa wake, kiufundi ni matunda. Unapoliona linaning'inia kwenye vines na matunda bado huwa yameshikana mpaka mwisho,  hivi inaleta maana sivyo? 

Maharage ya kijani

Maharage ya kijani yaani haya ndiyo huonekana kama mboga,hili ni kweli? Pindi mtoto mdogo hataki kula maharage ya kijani, nini baba na mama huwa wanasema?  "Kula mboga zako".

Labda kama  maharage ya kijani yaliitwa matunda ,wakati kiufundi  ni sahihi kuwa ni tunda,Watoto wangekuwa wanahamu zaidi kula .

BamiaBamia  —haijalishi inatokana na familia gani -imepata umaarufu kwa miaka sasa.Umaarufu wa kukuza bamia kwa miaka michache iliyopita,na haikuwa na hadhi kivile nayo ni mboga ni yatosha kuwa kama kale au cauliflower,bado inaweza kuwa na umaarufu mkubwa. Na hata kama inayo, utajua ukweli kwamba si Mboga. Nayo ni tunda.

Pilipili

Aina ya pilipili  Habanero inakuzwa kwa mapenzi ya kivuli.Ni ukweli inaonekana sio sahihi  kwamba pilipili kuwa katika hii list,haswa pale unapogundua kitu kama habanero – pilipili ina joto mara 70 ya jalapeno – nayo kiufundi ni tunda. Lakini huenda pilipili iko kwenye upande wa ladha ya tamu mfano pilipili boga au inakuwa upande wa kiungo kikubwa kama habanero,ambayo yote hutokea kwenye matunda na huwa ni tunda.Kwanini tunaita baadhi ya matunda ni mboga?

Ratatouille

kiufundi, chakula aina ya ratatouille ni kitamu, kinaweza kuwa chakula cha kuokwa yaani baked au cha tunda.Kwanini matunda yote haya yamejulikana kama mboga? Kwa hisia nzuri kwakuwa sio matamu ladha yake, na ni kwasababu sukari halisi iliyo ndani yake inapatikana kwa kiasi kidogo, watu wanayopika hayo wanayatenga kama ni mboga kuambatana na ukweli kwamba mboga ya kiukweli inatokea kwenye majani,stalks,mizizi, tubers,na bulb za mimea, au mboga ni matunda ya mimea, kama broccoli.

Lakini fikiria hili. Chakula kama ratatouille kimetengenezwa kutokea kwa nyanya ,bilingani na squash, tukizungumzia kwa kitaalam wa mimea ni kama salad ya matunda ya kuokwa

 Nyanya ni tunda au mboga?

Share and Enjoy !

































 

 

0 comments:

Post a Comment