• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Tuesday, November 4, 2014

FAIDA ZA HILIKI

1:09 AM // by Kalma // No comments

HILIKI
Hiliki ni asili ya ukijani katika misitu huko India.Kiungo hiki hutumika sana katika misosi India,pia hutengenezwa kama dawa katika Ayurvedic kama tiba ya ulcers ya mdomo,tatizo la uyeyushwaji chakula,na uchovu.Baadhi ya faida za kiafya za hiliki ni kali lakini tamu,uchachu pia, kwa sasa inachunguzwa kisomi zaidi.Ni vizuri kutumia hiliki katika vyakula vyetu sio kwa sababu ya ladha peke yake ,lakini faida za kiafya ndo kubwa la kuliangalia hapa.
Hiliki ,kiungo kikuu kitumikacho zaidi India sio kuongezea ladha bali ni tiba kuu pia.
Hizi ni faida chache za kiafya za hiliki:


  1. Huongeza au husaidia mfumo wa mmeng’enyo wa chakula.Ni kisababishi kikuu,husaidia kupunguza acid na bloating.Kunywa chai ya hiliki huondoa maumivu ya kichwa ambayo yamesababishwa na tatizo la uyeyeushwaji wa chakula.
  2. Huongeza,huleta hamu ya kula na hurahisisha au kutibu mchefuko wa tumbo.
  3. Kutafuna hiliki huondoa harufu mbaya ya mdomo.
  4. Huongeza na kurahisisha mzunguko wa damu kwenye mapafu na husaidia kulinda na spasms or convulsions. Imeshauriwa kwa kiasi kidogo kula hiliki kwa mtu anaesumbuliwa na pumu na kifua kama kifungua hewa katika mirija ya hewa .
  5. Kujikanada au kujichua kwa kutumia mafuta ya hiliki hutibu shida ya viungo na hutuliza maumivu pia. 

0 comments:

Post a Comment