• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Tuesday, October 12, 2021

Kupunguza uzito – Haraka na Nzuri

6:32 AM // by Kalma // No comments

Kupunguza uzito  – Haraka na Nzuri
Unasumbuliwa na uzito? Umechoka kuhangaika?Njia hizi za asili za kupunguza huo uzito kwa haraka bila ya kuhangaika.Kuwa na umbo lenye Afya .”
Uko tayari kupungua uzito bila ya kuhangaika?unaweza ukaifanya hiyo kwa mabadiliko ya kiafya kwa mlo na jinsi ya kuishi kila siku katika maisha yako.Unahitajia,kuwa muangalifu wa kuhesabu calories ambayo ni rahisi na itapelekea kujua kiasi gani unakula pindi usipohesabu ,na baada ya muda utajikuta umejijengea mfumo ambao unakua ni tabia yako ya maisha yako huwa tena ni mazoea….!!!Japokuwa kupunguza kwako uzito utakuwa  kwa kiasi kikubwa mno kwa kujumlisha na mazoezi,na unaweza usifanye pia.Tuangalie njia za asili hizi:
Njia za kupungua uzito kwa haraka
MAJIGlass moja ya maji au green tea kabla ya kula au mara mbili kwa siku.Maji yatachukua nafasi kidogo kwenye tumbo lako,husaidia kuhisi umeshiba hata ukila kidogo.kama itashindikana kunywa glass nzima, basi kunywa kidogo kila unapopata tonge la msosi.Kinywaji cha sukari pia ni kizuri badala ya maji.Weka kipande cha ndimu katika kinywaji chako utapata ladha nzuri.TABIA
1.Hesabu calories unayopata ili kupunguza mwili itakua rahisi kwa kupunguza calories ambazo zinapatikana mwilini mwako .Zitambue calories tokea katika milo unayokula mara kwa mara ,halafu utaijumuisha hizo calories mwisho wa siku yako.Adhimia
Dhumuni au nia ni kupungua pound moja kwa  wiki.Hii ni njia salama ya kupunguza uzito,na haihitaji kuilazimishia kupungua kwa haraka.Pound moja ni sawa na calories 3500,kwa maana hiyo unahitaji  kupunguza calorie 500 kila siku kwa wiki.kula chakula ambacho kinachukua muda kumeng’enywa au kusagwa kama vile matunda,mboga mboga,nuts,legumes na jamii ya nafaka.Kula vyakula vya asili vya kuchelewa kuyeyushwa  husaidia kujihisi umeshiba kwa kipindi kirefu,na vile vile itafanya  metabolism kuwa busy  pia.Achana na bites  ndogo.Pindi unapokula epuka kuwa na mlo mwingi mdomoni.Badala yake, tafuna chakula chako kwa mpangilio.Hii itakulazimisha kula taratibu,na utakua umepangilia mlo wako vizuri na itakua rahisi kwako kujua kirahisi pindi utaposhiba
RATIBA1.Kunywa chai au kifungua kinywa ni lazma yaani haina m-badala.Haiepukiki  na usijichanganye,kwa maana hautapunguza uzito kama utaepuka chai ya asubuhi.Hata kisomi inaonyesha kunywa chai ya asubuhi  hutengeneza metabolism  kwa ajili ya kufanya kazi kutwa nzima.2.Kula kwa mpangilio maalum.Ikiwa utaweza,jaribu kula milo yako kwa mida maalum hiyo hiyo kila siku.Kula kwa kufuata  ratiba husaidia mwili wako kujiandaa na kwa utulivu ambao utaruhusu kuyeyusha kiasi cha calories3.Kama tabia yako ya kula haitabiriki au huwa unaruka ruka milo ,mwili wako hua unawekeza calories kwa ajili ya dharura4.Usipendelee kula uangaliapo tv au mbele ya computer.Kwa kufanya hivyo utajikuta akili yako haipo zaidi kwenye kula.
 5.Epuka kula kwa mfadhaiko au stress.Stress au tamaa ya kula huweza kukuongezea uzito kwasababu utakuwa umekula kupitiliza.Kula pindi hauna njaa kali huongeza tani zisizo lazima za calories kwa diet yako ambayo huweza kuondolewa kirahisi na stress
6.Acha kula usiku mkubwa au mnene.Sababu hiyo, mwili wako hautaunguza calories nyingi pindi ulalapo,ni sawa na kula tu na kulala.
          Enjoy and Share !












0 comments:

Post a Comment