• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Thursday, May 11, 2023

7 SABABU YA KUWA NA BUSTANI JIKONI

12:35 AM // by Kalma // No comments

 7 HIZI NI SABABU YA KUWA NA BUSTANI

 JIKONI

Kama ulikua unawaza mawazo ya kukuza viungo vyako mwenyewe,ni vizuri ukafanya hivyo! Chagua sehemu karibu na dirisha au balcony ya jikoni au ndani jikoni na upandishe mimea.Hutajutia! hizi ni sababu kwanini bustani za jikoni zitakushangaza.

1. Unapata viungo fresh pale unapohitaji

Mara nyingine unahitaji majani ya mint au basil,

unachuma tu hapo kwenye mmea wako na utaacha kwenda kununua. La kuongezea huhitajiki kununua fungu zima na kulihifadhi kwa mahitaji ya kutumia jani moja.2. Unajua haswa kile unachoweka kwenye chakula chako

Siku hizi,na hizi dawa zinazowekwa kuzuia wadudu,ni ngumu kujua kama chakula ni salama au laa.Kama unakuza au unazalisha mwenyewe,unajua kuwa ya kwamba na kuwa na uhakika kuwa chakula au mboga hizi ni salama na hazina dawa.3. Inakua kazi rahisi

Mimea haina gharama kubwa haswa pale inapokua imetulia,kikubwa kinachohitajika ni maji kidogo.Baada ya muda utatunza fedha yako ile na haitakuwa tena kwa ajili ya kununua  mboga mboga,na haswa pale unapohitaji vyakula vizuri na vilivyo fresh.

4. Unakua ni mwenye afya

Kama unazalisha na kuitunza  mimea kama tulsi na mint,unaweza kuwa unakula jani moja au majani mawili kila siku,au ukaweka kwenye chai ya asubuhi, au ukanogeshea mapishi yako.

Hivi viungo vina faida ya dawa za kutosha ambazo zimo kwa ajili ya kutibu magonjwakama vile changamoto ya upumuaji,inatunza afya ya meno,hutibu homa,asthma,changamoto ya mapafu,ugonjwa wa moyo na stress yaani msongo wa mawazo.

5. Unapata dozi ya utulivu ya kujituliza tena ya kiasili.

Bustani ni ina kazi ya kutuliza na kupunguza au kuondoa kiasi chamsongo wa mawazo na kusaidia  kuwa mwenye kupumzika.Kuzungukwa na mimea asili unatakiwa kuwa na hali ya muonekano mzuri wa afya ya akili, Pamoja na maandiko ya wasomi mengi kuona maajabu kwa ujumla.

6. Mimea hufukuza wadudu/mbuKama unachagua viungo haswa kwa kutulia,inaweza kufukuza mbu kwa kiwango kikubwa,inazuia na kupunguza kung’atwa na mbu na kinga dhidi ya dengue na malaria.

Mmea mzuri kwa kinga ya mbu ni marigold-weka mmea mmoja katika kila mmea wa viungo.Na rangi zake zitang’arisha nyumba yako pia!

7. Hali ya kushangaza

Unaweza kudharau wazo la kupanda mimea,lakini ukianza kukuza ya kwako mwenyewe,

Utajua haswa tunachomaanisha.Kila mpigo mmoja ,branch au maua yanayokuzwa itakupa hali ya kuridhika na kukupatia furaha wakati wote.



























0 comments:

Post a Comment