

5 MAKOSA
YA FANICHA ZA NGOZI(LEATHER)
Ni nzuri, ya kudumu,yenye kupendeza kuketi,lakini
inawezekana kwamba unaharibu fanicha yako ya ngozi bila hata kujitambua? Ingawa
ngozi ni fanicha ya kudumu,na ni matokeo
ya asili. Epuka makosa ya kawaida ya fanicha ya ngozi linapokuja suala la
matengenezo na kusafisha pia.
Kuweka au
kuhifadhi Karibu na Joto na mwanga wa Jua
Uwekaji wa fanicha sebuleni mara nyingi hutegemea urahisi na
mvuto wa kuona. Lakini, ikiwa utaweka fanicha ya ngozi karibu sana na jua
linapochoma au aina yoyote ya kitu au kifaa chenye kuleta moto au hali ya hewa
ya joto, unaweza kuhatarisha fanicha yako ya ngozi.
Matoleo ya joto, radiator, na hita zinaweza kuleta uharibu wa
fanicha za ngozi na kufubaza hii hutokea kwa muda mrefu. Kwa kuongezea, sehemu ya jua au
mwanga wake wa jua unaweza kufifisha na kuharibu fanicha zako za ngozi, pia na kusababisha viraka
vyenye rangi ya mpuko kidogo pia. Hali mbaya zaidi ni pamoja na sehemu zilichanika
huwa kavu,zitasagika na kuchanika kabisa.
Kuweka
Vifaa vilivyochapishwa kwenye ngozi
Magazeti, majarida, na hata vitabu vingine vinaweza kuchuja
kwenye fanicha ya ngozi wakati kimeachwa juu ya fanicha hiyo. Ingawa fanicha ni
mahali pazuri pa kuacha vifaa vya kusoma, utastukia una nakala ya ziada ya chapa kwa fanicha yako. Hii ni kweli
haswa kwa kurasa za majarida na rangi zao zenye kupendeza au kurasa za kuchorea
zilizo na michoro ya rangi juu ya fanicha izo. Ni bora kuzuia kuacha vitu
kwenye ngozi kwa kipindi chochote cha muda wote.
Kutogeuza cushions mara kwa mara
Ngozi inapendekezwa iwe na umbo lake vyema mara zote, kwa
hivyo wamiliki wanaweza kuwa wazembe zaidi katika kupuuza na kugeuza cushions za
fanicha. Mikunjo inayoendelea kwenye kochi za ngozi haziwezekani kurekebisha
kabisa. Dau bora kwa fanicha za ngozi ni kugeuza na kutoa cushions kila wiki.
kusahau
kufuta vumbi
Fanicha za ngozi inahitaji usafi wa vumbi kila
wiki.Hijalishi utatumia aina ya kitambaa cha microfiber au utatumia brush ya
vacuum cleaner,kubwa na la msingi ni umakini wa kufuta vumbi kila wiki.Vumbi ni
adui wa mengi,ikiwemo ngozi .Bahati kubwa adui huyu anaepukika kirahisi kwa usafi wa mara kwa mara na wa
wiki pia.
Matumizi ya vifaa visivyosahihi vya
kusafishia.
Wamiliki wa fanicha na vifaa vya ngozi zuia matumiziz ya
sabuni na datergents,sprays, mafuta,na polishi zenye madhara au zinazoweza
kuharibu ngozi kwa fanicha yako.Fuatilia kwa kina maelezo ya viwandani vya aina
za dawa unazotumia na pindi kuna mkwamo tumia wataalamu.
Mara nyingi kitambaa kikavu,au matumizi sahihi ya kitambaa
kwa ajili ya usafi wa ngozi na maji vuguvugu ndio vitakiwavyo.Baadhi ya
wataalamu wa kusafisha aina ya vifaa vya ngozi wamekubali kipimo cha sawa kwa sawa maji na vinegar ni
kizuri,hata hivyo ukijipanga kutumia kitu kingine cha kusafishia hakikisha una
kua makini na madhara na faida kwa hiyo fanicha vizuri.
Anagalia vizuri tag za hiyo fanicha,angalia material yaliyotumika,au
wasiliana vizuri na wataalamu kina sakamia,zingatia ya kuwa usitumie product
ambayo haijapendekezwa kuepusha uharibifu wowote kwa fanicha zako.
Unahitajia,kuwa muangalifu wa kuhesabu calories ambayo ni rahisi na itapelekea kujua kiasi gani unakula pindi usipohesabu ,na baada ya muda utajikuta umejijengea mfumo ambao unakua ni tabia yako ya maisha yako huwa tena ni mazoea….!!!
Japokuwa kupunguza kwako uzito utakuwa kwa kiasi kikubwa mno kwa kujumlisha na mazoezi,na unaweza usifanye pia.Tuangalie njia za asili hizi:
Glass moja ya maji au green tea kabla ya kula au mara mbili kwa siku.Maji yatachukua nafasi kidogo kwenye tumbo lako,husaidia kuhisi umeshiba hata ukila kidogo.kama itashindikana kunywa glass nzima, basi kunywa kidogo kila unapopata tonge la msosi.
Kinywaji cha sukari pia ni kizuri badala ya maji.Weka kipande cha ndimu katika kinywaji chako utapata ladha nzuri.
TABIA
Adhimia
Kula vyakula vya asili vya kuchelewa kuyeyushwa husaidia kujihisi umeshiba kwa kipindi kirefu,na vile vile itafanya metabolism kuwa busy pia.
Achana na bites ndogo.Pindi unapokula epuka kuwa na mlo mwingi mdomoni.Badala yake, tafuna chakula chako kwa mpangilio.Hii itakulazimisha kula taratibu,na utakua umepangilia mlo wako vizuri na itakua rahisi kwako kujua kirahisi pindi utaposhiba
1.Kunywa chai au kifungua kinywa ni lazma yaani haina m-badala.Haiepukiki na usijichanganye,kwa maana hautapunguza uzito kama utaepuka chai ya asubuhi.Hata kisomi inaonyesha kunywa chai ya asubuhi hutengeneza metabolism kwa ajili ya kufanya kazi kutwa nzima.
2.Kula kwa mpangilio maalum.Ikiwa utaweza,jaribu kula milo yako kwa mida maalum hiyo hiyo kila siku.Kula kwa kufuata ratiba husaidia mwili wako kujiandaa na kwa utulivu ambao utaruhusu kuyeyusha kiasi cha calories
3.Kama tabia yako ya kula haitabiriki au huwa unaruka ruka milo ,mwili wako hua unawekeza calories kwa ajili ya dharura
4.Usipendelee kula uangaliapo tv au mbele ya computer.Kwa kufanya hivyo utajikuta akili yako haipo zaidi kwenye kula.
6.Acha kula usiku mkubwa au mnene.Sababu hiyo, mwili wako hautaunguza calories nyingi pindi ulalapo,ni sawa na kula tu na kulala.



