• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Sunday, December 15, 2013

3 VYA ASILI BADALA YA SUKARI

9:00 AM // by Kalma // No comments

Sukari tunazotumia siku hizi kwa uchunguzi nilioufanya zina harufu fulani hivi ukiweka haswaa kwenye chai.Hivi hamjagundua pia ina leta kichefuchefu,uchunguzi huu haukuishia kwangu, na wadau kadhaa wamelisadikisha hiloo,kubwa lingine  ni zina vitu vyeusi vyeusi sijui ni paking yake au ni uchafu ila iko hivyo.
Wiki mbili zilopita nikafikiri kutafuta njia ya badala ya sukari japokuwa hivi vyote huwa tunatumia nyumbani na bado  tuna endelea kula sukari,nimejaribu nikaona meno yanafanya kazi vizuri na nguvu nzuri imenipatia mwilini.
Tuziangalie hizi aina tatu zenyewe badala ya sukari.
Wewe ungependa utumie ipi?
Tende : 
Tende ni tamu ladha yake .Ina vitamin B6, vitamin A, potassium na calcium. Ni nzuri kuila badala ya sukari,chukua fungu kiasi nenda nayo ofisini kwako kwenye dawati lako,ukiipata chai ya maziwa au maziwa yenyewe au hata chai ya rangi au maji ya kunywa safi na salama  kwa asubuhi.Tende inashibisha na inajenga lishe nzuri katika mwili wako. Tembelea zaidi maajabu ya tende kujua faida lukuki zimo kulee
Maple Syrup: 
Maple syrup yenyewe hutengenezwa kwa kuchemshwa  sap of maple trees ikichanganywa na concentrated na sweet syrup. Ni tamu ladha yake ya sukari-tumia hata kwenye maziwa ya mtindi kwa asubuhi na kwenye kahawa au chai ya jioni, au asubuhi au muda wote unapotumia vinywaji vinavoongezewa utamu wa sukari,ukiwa nyumbani hata ofisini kwako.
Ina kiasi kidogo cha calcium na zinc pia.
Asali:
Asali ina  antibacterial na ni chanzo kikuu cha antioxidants.Unaweza tumia granola na maziwa mtindi,na kinywaji kilicho na asali,ndimu,na tangawizi katika maji ya moto huwa kinachangamsha mwili sana tu,na sana sana kipindi cha mchana na hata asubuhi kabla ya kunywa chochote ila asubuhi ya mapema sana.
Asali ile iliokooza rangi sanaa huwa ina antioxidant kwa wingi .
Tumia asali nyingi ya asili ambayo haijatengenezwa huwa ina lishe na antioxidants za kutosha.Tembelea asali ujionee faida za ukweli ndani ya blog hii..  

 SHARE KWA WINGI!


0 comments:

Post a Comment