• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Monday, December 9, 2013

FAIDA ZA KULA APPLES

12:24 AM // by Kalma // No comments

Apples ni msingi hautakuangusha. Kula apple,kunywa juice fresh ya apple,oka crisp, apple chips…utajisikia vizuri zaidi utapofikiri kuhusiana na urembo.Apple ni lina maajabu ya utamu,na lina faida lukuki-nyingine utakua hata ujazitegemea!


Leo nahisi tuwe pamoja katika faida za kiafya za kula apple. Lakini la mwanzo kabisa,hizo ni picha za apple huenda yana ladha tofauti tofauti.  



Sasa kwa faida za afya!
Apples huweza …
Inaongeza endurance. 
Apples ina  antioxidant inayoitwa quercetin,ambayo huruhusu  oxygen kupita kwenye mapafu kwa urahisi. Kula kabla ya kazi na utaona jinsi inavofanya kazi katika endurance yako!
Hung’arisha meno kuwa meupe.
Apples ina  malic acid,ambayo hutumika katika meno kuyafanya yawe meupe.kwa huo uwezo wake pia wakuondoa madoa kwenye meno.Mra nyingine ukila Apple,hakikisha unalitafuna kwa kuzipata faida zaidi na hata sugua kabisa kwenye meno yako. 
Boost immune system. 
Apples ina vitamin nyingi na ziko juu, ikiwemo vitamin C – Hii ni maalum kwa kuboost immune system!
Satisfy cravings. 
Apples asili yake ni tamu,kwahiyo husaidia kutosheleza kwa mchana kwa badala yahamu ya cookies. Ina calories kidogo na kwa ujumla ni haina mafuta ,utajisikia vizuri ukila, pia!
Hupambana na  cancer. 
Apples ina compounds inaitwa triterpenoids, ambayo huweza kupambana na mashambulio ya cancer kama ya Ini,Matiti,na tumbo(colon).
Inakuza kumbukumbu.
Apples yanaaminika kwa kuongeza uzalishaji acetylcholineneurotransmitter – ina uwezo mkubwa wa kuongezaea kumbukumbu na kupunguza hatari ya Alzheimer’s.

0 comments:

Post a Comment