• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Friday, December 20, 2013

MAPELE YA NDEVU.

9:08 AM // by Kalma // No comments

MAPELE YA NDEVU

Mapele ya ndevu  hudharauliwa ,wakati mwingine huwa yanaleta maumivu ambayo huwa ni mbaya yakiendelea kama hayatatambulika na kutibiwa ipasavyo.Ni vizuri kuepuka na hiyo hali kwa kuchukua tahadhari ,kama kutotumia wembe wa zamani au uliochakaa na kufanyia kazi matibabu wewe mwenyewe.Maji ya uvguvugu ya chumvi husaidia kama mapele yataendelea.
Topical antibacterial creams na  lotions husaidia kupunguza dalili za mapele hayo.Ila kwa kesi iliyokomaa ya mapele,dawa za antibiotics huwa ni lazima kutibu shida hiyo vizuri iwezekanavyo.

Vinginevyo hujulikana kama barber’s itch,mapele ya ndevu hutokea pindi vinywelea katika ndevu zinapokuwa vimeathiriwa na bacteria.Kwa kawaida,bacteria wanaosababisha hali hiyo huwa hawana uwezo wa kuvunja au kupita katika viziwizi vya ngozi,lakini baada ya kunyoa ndevu na kuvunja ile kizuizi,vinywelea vinaruhusu bacteria kuleta madhara katika follicles.

Kwa hali hiyo,kwa upande wa kitaalam  hujulikana sycosis barbae,hutokea ikiwa na rangi nyekundu kabisa,na huwa mapele kabisa yanauma huanza kidogo,hufikia hata kuwa kama jipu.
 
Njia nzuri ni kuepukana na hali hii kwa pamoja ni kwa kufuata masharti ya kujizuia.
Kwanza,fuata mfumo mzuri wa kujitibu wewe mwenyewe,osha uso na mikono mara kwa mara kuzuia maambukizi ya bacteria.Usitumie wembe mchafu au usoruhusiwa ,na epuka kurudia  kutumia disposable.
Hii inajulikana yaani maarufu: kuepuka kushare vifaa kama kitana na mtu mwingine,kufanya hivyo huleta maambukizi.Na kunyoa ndevu pindi uso una maji unajihisi ni vizuri zaidi ila huleta kwa urahisi maambukizi ya bacteria,sababu ngozi huwa ni rahisi kwa bacteria kupenya. 
Kama unahisi una mapele ya ndevu,inabidi uepukane na kunyoa,mara kwa mara,au uwe unafanya baada ya muda mrefu,hamia kwa shaver za umeme.Shaver za umeme zina madhara kidogo.Kwa mpango huo
  Tea tree oil huenda ikafaa.Tea tree oil hufanya kazi kama antiseptic na ni antibacterial.Tafuta pia aftershave lotion
 ambazo zina tea tree oil,na huenda ikawa ina faida ukiitumia kupaka kila baada ya kunyoa ndevu,na hata kabla ya dalili za hayo mapele.
Kwa kesi nyingine ndogo,vijipu au majipu meupe yale hujitengeneza kama mapele makubwa.hayo tumia chumvi  
Iliyolowekwa kwenye maji ya uvuguvugu kwa dakika 15 mara mbili kwa siku husaidia kutibu hali hiyo.Kama mapele hayajapoa au kupona au kuonesha dalili hata za kupona baada ya siku kadhaa au yanazidi kuwa hali mbaya,unatakiwa umuone daktari kwa ushauri .

Na wakati mwingine tumia topical antibacterial cream,kama vioform au mupirocin
  ambazo utaandikiwa .Kwa kesi kama hizo na zaidi utahitajika kutumia dawa za  oral antibiotics .
Mapele ya ndevu ,yaliyodharauliwa au hayakutibiwa mapema ,huwa sugu yenye hali mbaya na husababisha mabaka au makovu.
Hali kama hiyo huweza sababisha sukari diabetes au autoimmune disorders, na huwa hayaishi .
Pindi uonapo hali ya mapele ya ndevu,ni ishara ya kutaka kuyaondoa.Kwa mpango huo yabidi ufanye jitihada ya kuyatibu wewe mwenyewe na kuchukua tahadhari mapema ya kuepusha kuwa hatari mbaya.

 Jinsi ya kuondoa mapele ya ndevu nyumbani.
Lowesha kitambaa cha kujifutia katika maji ya baridi.Kisha kamua maji kisha weka sehemu yenye mapele kwa dakika 10 kuunguza kuvimba na wekundu.Kausha ngozi tena kwa kitambaa kikavu. 
Kata kata strawberry 2
 na kijiko cha kula kimoja (1) cha sour cream
ndani ya bakuli.Saga mchanganyiko huo ulainike vizuri waeza tumia blender.Pakaa mchanganyiko huo kwenye sehemu yenye mapele usoni mwako na acha kwa dakika 10 hadi 15 kulainisha sehemu iloathirika ilosababishwa na mapele hayo.

Pangusa mchanganyiko huo na kitambaa cha kujifutia.Kisha futa ngozi na kitambaa au taulo safi.Tembelea jinsi ya kuosha uso.

Lowesha kipande cha pamba ndani ya kuoshea uso ya antiseptic. Kwa taratibu pangusa au sugulia hiyo antiseptic katika mapele kuyasafisha na kuzuia maambukizi ya chunusi.Tembelea jinsi ya kuondoa chunusi.Kisha futa na kitambaa au taulo kavu.

Siliba au pakaa hydrocortisone cream katika mapele ,mara mbili kwa siku kwa siku unayonyoa ndevu,husaidia kuondoa maambukizi,wekundu,na mabonde yanayotokea pindi unaponyoa au kushave.
TIPS:
  • Yeyusha asprin katika maji na pakaa katika mapele baada ya kunyoa ndevu,huondoa maumivu na huunguza mapele yaani huyakausha.
  • Tumia viwembe vya umeme kupunguza mapele ya wakati wa kunyoa.Kisha tumia vilainisha ngozi maalumu vya baada ya kunyoa .
·         Mara zote nyoa kwa kufuata muelekeo wa ndevu unavokuwa kuepusha maambukizi.
·         Benzoyl peroxide cream,

HHutumika kufifisha chunusi,huweza tumika pia kuondoa mikunjo ya baada ya kushave. 







0 comments:

Post a Comment