• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Friday, December 27, 2013

SABABU ZA KUTABASAMU

8:31 AM // by Kalma // No comments

SABABU ZA KUTABASAMU
Mara ngapi huwa unacheka kwa siku?Unacheka ukikutana na watu wapya?Pindi unapokutana na rafiki zako?Ukiwa na wafanyakazi wenzako?
Uso wako una mishipa 44 ambayo huruhusu kutenegeneza zaidi ya 5,000 aina tofauti tofauti ya muonekano,nyingi zao ni kutabasamu.
Kutabasamu ni kuzuri kwako wewe mwenyewe, kwa afya yako,na maisha ya kijamii kwa ujumla!
Kitendo rahisi cha kutabasamu(smiling) ni hukufanya muonekano wakirafiki zaidi-hubadili maisha yako na maisha ya wengine waliokuzunguka.

Hizi ni sababu kutoa kicheko mara zote zaidi:

1.Ina boost immune system
Kutabasamu hubadili makemia ya mwili wako.kutabasamu wana medical studies wamegundua kunapunguza ugonjwa wa moyo,hufanya kuhema vizuri na kuupumzisha mwili,ambayo hujenga umadhubuti wa immune system.
2. Itabadili  hisia yako
Psychologists wamegundua kama ukitabasamu kwa 60 dakika,haijalishi umedanganya au umejilazimisha hisia hizo,hutoa serotonin ambayo inaufanya mwili wako ujisikie ni wenye furaha tena. 
3.Hupunguza blood pressure
Kama una tabasamu, endorphins huja juu na blood pressure hushuka.Huweza kujua kama utapima presha yako kabla ya kucheka na baada ya kucheka utagundua iko tofauti.
4. Inaboresha hisia
Fikiri tena kusema Asante kwa chocolates.Kutokea kwa British Dental Health Foundation,tabasamu yenye mapenzi yaani ilotoka moyoni ile huweza kuwa sawa na kuzalisha hisia nzuri inayofananishwa na kula 2,000 chocolate bars!
5.Hulainisha moyo
Mara nyingi imeonekana tabasamu la kupangwa hulainisha moyo yaani huondoa chuki na ghadhabu,na huwa ni tabasamu la mvuto,la kutoa ishara ya uaminifu ulokuwa moyoni na upendo wa kusafiana nia. 
6. kukumbukwa
Yatoe meno meupe kama mng’ao wa almasi,katika interview yako nyingine. Kama ni mwenye kutabasamu,ni mara tatu kuwa unakumbukwa zaidi kuliko Yule ambaye anayejionyesha au mwenye vitu vya asili.
7. Ni njia ya mafanikio
Watu wengi wanaopata promotion.Kutabasamu kwao wao ni kivutio chao cha asili.Zaidi watu hao ugunduzi wa kisaikolojia umeonesha watu wenye kuvutia huwa zaidi ni wenye mafanikio,intelligent,na ni marafiki sana.
8. Hukufanya kuonekana mdogo( younger)
Kutabasamu ni asili ilo usoni mwa mtu! Husukuma seli katika ngozi yako na kutoa mng’aro flani hivi.Hata hivyo ugunduzi ulofanyika karibu 69% ya watu wamegundua kwamba wanawake huvutia zaidi kwa muonekano pindi wanapotabasamu kuliko wanapojitia au kupakaa makeup.
9. Maisha marefu
Pindi unapotabasamu,ni ngumu kutokuwa mkweli wa hilo tabasamu.Na ukweli huo ndio unaoongeza siku zako za kuishi. Researchers wa Columbia University wamegundua watu wenye furaha zaidi or( happier) mara nyingi hupunguza hatari ya matatizo ya moyo.
 10. Hupunguza stress
Ni muhimu kwa afya yako ,pia,hushusha blood pressure,huongeza mmengenyo wa chakula,na kupangilia blood sugar.Tambua kwamba tabasamu  hufanya kazi  kipindi  cha kazi ngumu ,pia! Mathalani uko kwa kipindi kigumu  au umebakiza dakika tano(5) kuikamilisha hilo au jambo lako,tabasamu huweza leta maajabu!


A quote to smile about
“A smile costs nothing, but creates much. It enriches those who receive, without impoverishing those who give. It happens in a flash and the memory of it sometimes lasts forever.” - Dale Carnegie, How to Win Friends and Influence People.

0 comments:

Post a Comment