• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Friday, January 17, 2014

6 VYAKULA MUHIMU KWA MJAMZITO.

5:36 AM // by Kalma // No comments

Unataka lishe ya ukwee kipindi cha ujauzito?Hakikisha hivi aina sita ya vyakula viko katika mlo wako.
 Unajua unatakiwa kila mara ule vizuri,lakini labda –labda –ufanye kujidanganya kidogo.Latte na dounat kwa asubuhi kama kifungua kinywa?wote tunakula hivo!
Kwa sasa unategemea au utajifungua,unajaribu kufikiri kwa umakini zaidi kwa kile ambacho unakula wewe mwenyewe kwa sababu chakula unachokula ni chanzo kikuu cha lishe kwa kumkuza mtoto wako.
Kipindi cha ujauzito,kwa mfano ,unatakiwa uwe na Protini na calcium kwa kukuza tissue na mifupa ya mtoto wako.Pia utahitajika ziada ya folic acid kwa kulinda upungufu wa neural tube kipindi cha kujifungua,na vile vile madini ya chuma mengi kusaidia seli nyekundu kubeba oxygen kupeleka kwa mtoto wako.
Anza na kula milo mizuri ya afya pindi cha ujauzito.
Nafaka nzima
Ni tajiri wa lishe, nafaka nzima na cereals ni hazina ya madini pamoja na folic acid na madini chuma na upate fiber nyingi kushinda mkate wa ngano na wali.Fanyia kazi,hakikisha unapata  nafaka nzima kwa siku yako:oatmeal kwa kifungua kinywa yaani chai ya asubuhi,sandwich kwa nafaka nzima mkate kwa mchana yaani lunch,na ngano utaipata kwenye pasta au brown rice kwa chakula cha usiku kwa kizungu dinner.

 
 


   Maharage
Weka na maharage meusi,meupe,pinto ,lentils,black-eyed peas,na ini,garbanzo,au maharage ya soya katika mlo wako.Jaribu hizo na pilipili na supu ,saladi,na pasta.Sio tu ina Protein na fiber,pia ni chanzo kizuri cha lishe nzuri,kama vile madini ya chuma,folate,calcium,na zinc.



Salmon
Omega-3 fatty acids ni nzuri kwa kujenga akili na macho ya mtoto wako,na salmon ni chanzo kizuri vile vile cha lishe.Ina Protein na Vitamins B za kutosha.Salmon pia wana mercury kidogo ukilinganisha na samaki wengine.Jaribu ya kubanika,broiled,au weka na salad juu.Iko salama tu na unaweza kula mpaka ounces ya 12 tu  ya samaki wenye mercury kidogo,kama vile salmon,huweza kula kwa wiki mara moja. 



Mayai
Mayai ni hodari na chanzo kizuri cha protein ambayo hupatikana amino acid inayotakiwa kwako na kwa mtoto pia.Inayo vitamins nyingi sana na madini ya kutosha ,ikiwemo Choline,ambayo ni nzuri kwa kukuza akili ya mtoto.Japokuwa hakikisha hauli au usile yalikuwa hayajaivaa vizuri au mabichi .
 
 Berries
Blueberries, raspberries, na blackberries ni snacks yenye ladha tamu na nzuri na haswa kama utaipata kwenye cake na juu ya cereals.Berries ina vitamin C,potassium,folate na fiber.


Maziwa ya mtindi yenye mafuta kidogo
Kikombe kimoja cha maziwa ya mtindi ambayo sio yaliyoongezewa ladha,maziwa ya mtindi yenye mafuta kidogo yana calcium nyingi kuliko maziwa ya kawaida,na yana protein nyingi pia,na huwa hayajaongezewa sukari ya ladha yaani flavored.Tumia maziwa hayo na matunda au crunchy,au nafaka nzima,na cereal.




0 comments:

Post a Comment