• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Sunday, September 22, 2013

CARROTS

1:03 AM // by Kalma // No comments

carrots

Carrots ni tunda la mzizi,ina rangi ya orange,hudhurungi,njano, hata nyeupe pia. Ukiila pindi fresh ni kama kripsi hivi. Ni mboga vilevile ni tunda, ni mboga yenye afya duniani kote. Sahau kuhusiana na vitamin "A" mbayo wengi tunaifahamu pia ina faida nyngi hizi zifuatazo;
          1.  Inaongeza kuona, haswa nyakati za usiku.
           2. Inazuia cancer
           3. Inang'arisha na kutengeneza ngozi imara.
           4. Inakinga ya mwili na uharibifu wa ngozi.
           5. Inapendezesha ngozi na kulainisha pia.
           6. Inazuia maradhi ya moyo
           7. Inasafisha mwili na kutoa uchafu kwenye ini.
           8. Inaimarisha meno na fizi
           9. Inaepusha kiarusi yaani(stroke).
         10. Hutia nguvu na kujenga mwili .

0 comments:

Post a Comment