• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Monday, September 23, 2013

CHAI

6:09 AM // by Kalma // No comments

Chai

Chai ni kinywaji cha moto yaani HOT. Kawaida huchemsha maji unatia majani, inakua tayari. Wengine hupendelea kuweka viungo kama mdalasini,karafuu,iliki,tangawizi, ina ladha nzuri kwa mnywaji.


Chai inatumika asubuhi kama kifungua kinywa na vitafunio japokua wengi tunapendelea  na mikate. Vilevile chai inatumika pia jioni km kiburudisho koo.
Kawaida huwa inatiwa sukari inakua nzuri na tamu, ila ukiweka asali nayo huwa nzuri pia.

Fuatilia faida za chai;

              1. Ni rahisi kutengeneza .
              2. Huokoa muda na gharama pia.
              3. Kinywaji cha haraka kwa wageni.
              4. Inapunguza uzito.
              5. Inalinda mwili na miale ya jua.
              6. Inajenga mifupa
              7. Inapunguza blood presure.


Hzo chache katika faida ila ni tiba ya kichefuchefu na kiungulia kwa mama mjamzito au mgonjwa anejisikia vibaya.
Hupunguza uchovu wa hapa na pale.


    Wachina wanaona ni dawa kabisa.Na wao walitambulisha Britain mnamo karne ya 17 nao wakaitambulisha India karne hiyo hiyo, ilipatikana faida ya ushindani wa biashara dhidi ya India na China .


   Chai nzuri kwa mtoto wa kuanzia mwaka na miezi sita na kuendelea! Pia sio nzur kuinywa sanaa kupita kiasi,huwa kama kilevi  pindi ukiikosa unajisikia kuumwa hivi.

0 comments:

Post a Comment