• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Thursday, September 26, 2013

VINYWAJI

1:53 AM // by Kalma // No comments

VINYWAJI

Kinywaji ni kitu cha maji maji ambacho ni kwa ajili ya kukidhi kiu kwa binaadamu.kuna aina nyingi na tofauti tofauti za kinywaji. Kuna maji, vinywaji  baridi, juisi ya matunda, juisi ya mboga mboga , vinywaji vya moto . 

Na vyote hivo ni kwa sababu ya kukidhi mahitaji muhimu kwa binaadam
Kunywa ni tamaduni ya jamii zote duniani.

Vijue aina za vinywaji na faida zake;
   
         KINYWAJI POA (SOFT DRINK)

Kinywaji hiki ni  hakina kilevi (non-alcoholic) navyo ni kama Soda, Maziwa, Hot chocolate, Chai, Kahawa,Milk shake(sharubati), maji ya bomba, vinywaji vya nguvu, n.k.


           KINYWAJI CHA MOTO (HOT DRINK)


Kinywaji hiki ni cha moto au uvuguvugu kama vile maziwa,maji ya moto, chai , kahawa.


            JUISI YA MATUNDA(FRUIT DRINK)
Kinywaji hiki ni cha asili chatokana na matunda, kama chungwa au dalanzi ni nzuri kunyweka asubuhi yaani (breakfast).

Maji ya madafu ni mazuri matamu halafu ni freshi kabisa na yanajenga afya, na tiba ya kusafisha "mkojo" pindi mchafu. Matunda yanatoa juisi nzuri na tamu ladha yake. Juisi hujenga mwili na kutia nguvu na inaongeza vitamini mwilini.


Parachichi, apple, ndizi mbivu ni juisi nzuri kwa mtoto wa miezi sita na kuendelea husaidia kulainisha choo.

           JUISI YA MBOGA MBOGA
Juisi ya mboga huwa inakua ya moto,mboga tofauti  tofauti,inatengeneza juisi kama vile karoti, nyanya,matango,n.k.


        Juisi nyingine za mboga huchanganywa na matunda kwa ladha nzuri. Juisi hii hulinda mwili na vijidudu, na cancer pia.
Hujenga mwili na kutia nguvu.

           KINYWAJI KISICHO NA KILEVI.


Ni kama Azam malta, Grand malta ,na vingi vingine huwa ni kiburudisho. Vinywaji hivi vinaongeza damu vina vitamini mwilini. Huongeza uzito wa mwili, sio vizuri kwa kujenga afya ya mtoto mdogo, na ukivizoea unakua kama ulevi japo havina kilevi, na huongeza tumbo au kitambi.
   Haishauriwi kumpa mgonjwa  aina ya vinywaji hivi.

0 comments:

Post a Comment