• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Wednesday, September 25, 2013

MATUNDA

2:47 AM // by Kalma // 1 comment

 MATUNDA Matunda ni sehemu ya maua yatokanayo na mbegu tofauti toauti.Kwa kawaida Tunda ni tamu hata kama "chachu"basi lina ladha nzuri na tamu kwa muonjaji.

 Kuna matunda ni Tunda na Mboga pia kama vile; nyanya, tango, zukini.  Matunda yanajenga mwili, yanamaintain afya na uzito, yanalinda mwili na vijidudu(diseases) mbalimbali, ni mlo kamili pia na mazoezi ya mwili. Matunda ni matamu na mazuri kwa mlaji. Yanaongeza vitamini na madini, yanasadia kuyeyusha chakula mwilini kwa haraka. Matunda yanapendezesha sahani kwa rangi zake tofauti tofauti nzuri na zenye kuvutia.

Enjoy and Share !






1 comment:

  1. Kalma weka tunda la mbirimbi tupe matengenezo na ulaji wake

    ReplyDelete