• LinkedIn
  • Join Us on Google Plus!
  • Subcribe to Our RSS Feed

Tuesday, August 31, 2021

Kula Kuondoa Stress

12:21 AM // by Kalma // No comments

 Kula Kuondoa Stress: 

Vyakula 10 ambavyo hupunguza wasiwasi

Hizi ni Habari nzuri kuweka akilini wakati mwingine ukiwa na mawazo yaani stress.Kula kunaweza saidia kukuletea utulivu.Lakini hapa kuna kitu:Hatuzungumzii  kula chakula hichoo moja kwa moja kujituliza kabisaa au kupona kabisa kutokea kwa chakula.Vyakula vya kukaanga au cheese vitakuletea majuto na hata kukuongezea stress.Badala yake,jaribu hizi lishe kimojawapo au zaidi ya hizi vyakula 10 kujisikia au kuapata afueni ya haraka.

1. AsparagusDepression ina muunganiko wa kushusha kiwango cha folic acid,na mboga mojawapo inayo boost na ina virutubisho ni asparagus.Kikombe kimoja kina mbili ya tatu ya thamani kila siku.Na ni rahisi kuwa nayo mboga hii katika mlo wa siku wowote.Wazo lingine :Mboga ya asparagus yaweza kuwa kidokezo kwenye omelet.Inaweza kuwa mchemsho au grilled kama kidokezo cha kula na nyama,Samaki n.k.Unaweza tumia pia kama chachandu ya vyakula mbalimbali.

2. Avocado/parachichiTunahitaji vitamin B kwa afya ya mishipa na seli za ubongo,na kuwa na msongo wa mawazo au stress hupunguza vitamin B.Parachichi ni tajiri wa kutibu mawazo au stress.

Vile vile ina uwezo wa juu  cha mafuta ya na potassium,ambayo hulinda na kupunguza shinikizo la damu.Mara ijayo tumia full-fat ice cream,au isiyokuwa na maziwa changanya na parachichi saga na ndizi ya kuiva,weka vanilla,nut milk,na non nutritive sweetener.Gandisha,nayo huponesha stress.

3. BlueberriesBlueberries inaonekana ni ndogo,lakini ikijaa mkononi ni yenye nguvu ya antioxidants na Vitamin C,nayo huondoa msongo wa mawazo.Pindi tunapokuwa na mawazo au stress,miili yetu huhitaji Vitamin C na antioxidants kusaidia kukarabati na kulinga za seli.Hata hivyo blueberries zina ladha zenyewe yaani tamu balaa.kidokezo:Igandishe iwe kama snack,hakuna namna ya kuboost lishe kula na maziwa ya mtindi au vyakula vyenye nafaka ya kiwango cha juu yaani high-fiber cereal.

4.MaziwaGlass ya maziwa ya vuguvugu kabla ya kulala imegundulika ni wakati wa kutibu insomnia fidgetiness.Kwasababu maziwa kunapatikana antioxidants,vitamins B2,na vizuri protein na Calcium.Protein lactium ni chenye athari ya kutuliza kushusha shinikizo ladamu yaani blood pressure,wakati potassium ipatikanayo katika maziwa husaidia kulegeza misuli  ya sparms iliyojibana wakati wa hasira au wasiwasi.

 5. AlmondsKupata nafuu ya munching hutokea kwenye almonds,ambapo ina vitamins B2 na E.Vyote kwa Pamoja ni virutubisho inayosaidia kuimarisha kinga za mwili kipindi cha msongo wa mawazo.Yaani ni robo kikombe cha almonds kila siku.Unaweza tumia almonds kama siagi au katakatia kwenye matunda au whole wheat crackers.

6. MachungwaKuna sababu ya juisi ya machungwa kuwepo kama kinara katika mlo wa kifungua kinywa asubuhi.Vitamin C ni vitamin nyingine ijulikanayo kama kupunguza shinikizo la damu na hormone za stress cortisol.Kwa ufanyaji kazi wake harakaya vitamin C,ni rahisi tu kula chungwa lenyewe au juisi ya machungwa bila ya kuweka sukari.Au hata ya kununua pia,kubwa na la muhimu kuipata juisi halisi ya machungwa.

7. SalmonKula Samaki kwa wingi katika mlo wako utajisikia vizuri.Mlo kamili wenye omega-3 wa fatty acids husaidia kuweka cortisol na adrenaline spiking pindi unajisikia hasira au msongo yaani stress.Salmon ni mojawapo ina vyanzo ya omega -3s:Ipatikane kwenye mlo angalau 4 ounches mara tatu kwa wiki na hufanya kazi kibws ya kulinda na kukinga moyo pindi homoni zinapoongezeka wakati wa stress.

8. SpinachTengeneza au pika chakula weka na spinach.Majani yake yanaweza yakawa katika mawazo ya chakula cha faraja,lakini spinach ina leta afueni ya madhara ya stress.

Spinach ina mzigo wa kutosha wa magnesium,madini yanayosaidia kuweka sawa kiwango cha cortisol na kukuza au kulazimishia hisia za kupata afueni.Kikombe kidogo cha percent 40 ya spinach kila siku,unaweza ukala katika mlo wa asubuhi wa kifungua kinywa Pamoja na mayai,tumia kama lettuce kwa sandwich,tumia kama kachumbari,chemsha kama mboga,au pika  majani machache katika supu yako.

 9. Turkey

Usingizi unaopata baada ya kula cha jioni na zaidi kwa chakula ukipendacho husababishwa na amino acid tryptophan ipatikanayo turkey.Tryptophan huashiria ubongo huondoa na kutoa kemikali ya serotonin,ambayo inachochea utulivu na huondoa uchovu mzito.

 10. OatmealOatmeal ni chakula kingine kinasaidia kuleta utulivu na afueni itokanayo na mzunguko wa hormones za serotonin.tumia njia hii,ambayo hupatikana kwa oats ya kizamani inayohitaji kupikwa badala ya instant oatmeal. Kwanini?Sababu Oats ina fiber nyingi ya kutosha na kwasababu hiyo huchukua muda mrefu kumeng’enywa(kwa maana inamaanisha athari ya kutuliza au kuponesha hudumu kwa muda mrefu).


 

 

0 comments:

Post a Comment