
ASALINi ya ajabu yenye rangi ya dhahabu.Hupatikana ndani ya mwaka mzima kila siku. Ni chakula kitamu cha nyuki hutumia nectar kutokea kwenye maua.Aina ya Apis ndo hujulikana zaidi.Hukusanywa na wafuga nyuki,na hutumika sana kwa binaadamu. Asali inayotengenezwa na wadudu wengine hiyo ina matumizi tofauti.
Nyuki wanatengeneza asali kwa njia ya uchavushaji(regurgitation)na uvukizi(evaporation).wanaihifadhi katika mizinga ya nyuki.Ni...